Kitendo cha serikali kufumbia macho fedha za mradi wa kunusuru kaya maskini (TASAF) zinazoliwa na watendaji wa vijiji na mitaa hakikubaliki, kufuatia kile kinachoitwa mradi huo kwenda kinyume na malengo ya kunusuru kaya maskini sasa unanusuru kaya tajiri na watendaji wa vijiji na mitaa, hasa...
Hatimaye baada ya vuguvugu la kurudisha mihuli kuendelea kwa muda mrefu hatimaye wenyeviti wote wa mkoa wa dar es salaam wakubali kurudisha mihuli kisha kukimbilia mahakamani kupata ufafanuzi wa jambo hilo baada ya mkutano wao wa pamoja uliofanyika katika ukumbi wa TTC chang'ombe Leo hii.
Nimemaliza chuo mwaka huu katika Chuo Kishiriki cha Elimu (DUCE), natafuta shule yeyote niweze kufundisha masomo ya GEOGRAPHY and LITERATURE kwa mkoa wowote hapa Tanzania!
Mwalimu toka chuo kikuu cha dar es salaam natafuta kazi nitakuwa na wewe toka sasa hadi natakapo pangiwa kituo cha kazi nitafute kupitia namba 0712478347 kwa masomo ya GEOGRAPHY NA LITERATURE
Kwa taasisi yoyote inayohitaji mwalimu toka Chuo Kikuu cha Dar es salaam kwa masomo ya Literature na Geography tuwasiliane kupitia namba 0712478347.
Nipo tayari kuanza kazi baada ya kufungua shule mwezi wa saba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.