mkuu unataka only dar, mi ningekuhook mtwara, au unatafuta part time ?una ajira uko mjini?
Kwa nini Dar na isiwe sehemu yoyote ndani ya Tanzania?
Kwani anafanya research mpaka umuulize swali kama hilo. Swali lako linaingilia privacy ya muhusika. Pia sababu za watu kuchagua Dar ziko wazi; jiulize kwa nini Dar kuna population kubwa kuliko mikoa mengine yote hapa nchini.