Aziz alipokea pasi pembeni kidogo ya 18 akampa Mudathir naye kwa kuwa yupo pembezoni mwa goli, akaona hakuna haja ya kufosi akampa pande Guede kamalizia kiulaini.
Match Day
NBC Premier League
Mashujaa Vs Yanga
Lake Tanganyika Stadium
Leo majira ya saa kumi jioni timu ya Mashujaa kutoka Kigoma itacheza na wageni wao timu ya Yanga kutoka Dar katika mechi ya NBC premier league ikiwa ni michezo yao ya 25 kwa msimu huu.
Unatarajiwa kuwa mchezo wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.