asa apple kwa kiingereza tufaa au tufaa kwa kiingereza ndo apple?Mzuka wanajamvi!
Matumaini yangu muwazima na buheri wa afya. Kwa upande wangu really I cant complain.
Moja kwa moja kwenye mada. Kuna majina mengi ya vitu tofauti wengi hatufahamu kwa kiingereza.
1. Manati - Catapult
2. Ukwaju- Tamarind
3. Bamia - Ocra
4. Mafenesi - Jack fruit
5. Mastafeli- Soursop
4. Kupiga danadana - Juggling
5. Apple -Tufaa
6.
Ongezea mengine
Chenza - tangarineChenza linaitwaje vile....nakumbuka inaanza na schwa
Kuguna - gruntingKuguna-
Kusonya-
Kuongea mwenyewe-
Kubeua-
Kuna ile namna ya kukuna sikio linalowasha kama unasonya inaitwaje kwa kiswahili na english-
Kile kitendo kinachotokea unapokuwa unasugua ulimi na kutoa ute mzito kinaitwaje kwa kiswahili na english-
Hiyo namba 5 ni Tufaha sio Tufaa,hili jina limetolewa kwenye lugha ya Kiarabu.Mzuka wanajamvi!
Matumaini yangu muwazima na buheri wa afya. Kwa upande wangu really I cant complain.
Moja kwa moja kwenye mada. Kuna majina mengi ya vitu tofauti wengi hatufahamu kwa kiingereza.
1. Manati - Catapult
2. Ukwaju- Tamarind
3. Bamia - Ocra
4. Mafenesi - Jack fruit
5. Mastafeli- Soursop
4. Kupiga danadana - Juggling
5. Apple -Tufaa
6.
Ongezea mengine
Apple kwa kiswahili ni tufaha sasa mbona wewe umeanza na neno Apple halafu unaweka neno tufaha kama tafasiri yake?Mzuka wanajamvi!
Matumaini yangu muwazima na buheri wa afya. Kwa upande wangu really I cant complain.
Moja kwa moja kwenye mada. Kuna majina mengi ya vitu tofauti wengi hatufahamu kwa kiingereza.
1. Manati - Catapult
2. Ukwaju- Tamarind
3. Bamia - Ocra
4. Mafenesi - Jack fruit
5. Mastafeli- Soursop
4. Kupiga danadana - Juggling
5. Apple -Tufaa
6.
Ongezea mengine
Toothgap - ni pengo kakaMwanya _ Toothgap😁
Kisogo_Rearhead😁
Hii ni kwa mujibu wangu msimeze kibwege
?Unamfahamu Ndumilakwiri wewe?
MummeringKuongea bila kufungua mdomo kunaitwaje kwa kiswahili na kiingereza?
katika uliyoorodhesha neno moja tu nilikua ndio silijui kwa Kiingereza, tunda la mastafeli.Mzuka wanajamvi!
Matumaini yangu muwazima na buheri wa afya. Kwa upande wangu really I cant complain.
Moja kwa moja kwenye mada. Kuna majina mengi ya vitu tofauti wengi hatufahamu kwa kiingereza.
1. Manati - Catapult
2. Ukwaju- Tamarind
3. Bamia - Ocra
4. Mafenesi - Jack fruit
5. Mastafeli- Soursop
4. Kupiga danadana - Juggling
5. Apple -Tufaa
6.
Ongezea mengine
Kisogo Medula Oblongata,🏃Mwanya _ Toothgap😁
Kisogo_Rearhead😁
Hii ni kwa mujibu wangu msimeze kibwege