Hebu watag mods waje hukuMtatupa update. Local games hizi mods wanashindwa kuweka kitufe cha live
kwani yapo mangapi?Go Simba. Goli la kwanza.
Hatujajua bado. Yanaweza kuongezeka au kusalia kama lilivyo. Tuendelee kusubiri.kwani yapo mangapi?
Simba wanae?Mtibwa wanavyocheza utasema hawana kocha
Hahaha.. Naona mnachagua miaka😘Tuanzie miaka ya 2000..Binamu Chumchang Changchum sijawahi kukuona kwenye hizi nyuzi haya leo ukuje. 😜
Wanastahili kushuka daraja hawa, hata mipango hawanaMtibwa wanavyocheza utasema hawana kocha
😅😅 sawa bina.Hahaha.. Naona mnachagua miaka😘Tuanzie miaka ya 2000..
Hii sare nyingine ya leo tunaomba ije na mtandio wakeMatch Day.
NBC Premier League.
Simba vs Mtibwa
Azam Complex
04.00 PM
Leo majira ya saa kumi jioni timu ya Simba itawakaribisha wageni wao timu ya Mtibwa katika mechi ya NBC premier league ikiwa ni mchezo wao wa 23 kwa msimu huu.
Ungana nami kwa updates mbali mbali.View attachment 2979499
View attachment 2979505
Vikosi vinavyoanza leo.View attachment 2979814View attachment 2979816
Dk 20' Bado ubao unasoma 0:0
Dk 32' Simba 0: Mtibwa 0
Dk 33' Saido anapata kadi ya njano.
Dk 35' Goaal Simba wanapata goli kupitia Fredy Michael
Yani ni zero kabisa. Wanachojua ni kukaba tu Simba SC wakiwa na mpira, wao wakiupata huoni kabisa kama wanaweza kutengeneza shambulizi lolote la maana.Wanastahili kushuka daraja hawa, hata mipango hawana
Mods hawataki mazoea na game ndogo ndogoMods wamelala wamesusa au ndo zarau zenyewe