Tabia za mabinti wa kinyiramba wa kizazi hiki cha 2000

Ndugu zangu nataka mtakasike. Amina

Hakika nimeangukia kwa mtoto wa kinyiramba. Mwanamke ni mweupe soft kweli kweli, mrefu wa wastani ,nyusi, nywele na kope za kuvutia . Ana macho flani hivi ya nyege..

Ndugu kabla sijamfungia ndani naombeni mnijuze tabia za hawa wasichana wakinyiramba waliozaliwa miaka hii ya 2000

Asanteni
Wanawake wote wanafanana mkuu. Akili zao wanaziJua wenyewe. Kikubwa tabia. Hayo mengine yote ni maua tu. Anaweza akawa na macho ya nyege lakini ukimpeleka kitandani hamna kitu. Usipime kina cha maji kwa miguu miwili.

Cha muhimu mgegede kwa mwaka mmoja kwanza huku ukimsoma tabia. Kama anafaa ndio umuoe. Vinginevyo, utakuja kulia na kusaga meno. Utanishukuru baadaye.
 
Ndugu zangu nataka mtakasike. Amina

Hakika nimeangukia kwa mtoto wa kinyiramba. Mwanamke ni mweupe soft kweli kweli, mrefu wa wastani ,nyusi, nywele na kope za kuvutia . Ana macho flani hivi ya nyege..

Ndugu kabla sijamfungia ndani naombeni mnijuze tabia za hawa wasichana wakinyiramba waliozaliwa miaka hii ya 2000

Asanteni
Fanya juu chini uijue familia yake, halafu mchunguze mama yake ni mtu wa aina gani. Utanishukuru baadae!
 
Watanzania tumekuwa very low minded people, watu tunaoshindwa kujenga hoja kwenye mambo magumu kitaifa wala kuuliza pale panapostahili zaidi ya kujadili mambo cheap kama haya alafu tunalalamika kilasiku hali ngumu. Pathetic
Mkuu ndo nchi yako hii, utakimbilia wapi, inabidi tuishi nao tu. Wanase,a life is short
 
Yote haya ni kwa sababu ya ccm.

Wapumbavu wengi wakiwa maarufu na kupata uongozi huambukiza upumbavu wao kwa jamii nzima.
Ni pale watu wajinga wanapopewa nafasi katika media mbalimbali kwaajili ya kukuza brands zao na hata wanayoyajadiri kwenye hizo media houses ni very cheap issues na si delicate issues bila kujua hizo brands zinapandikiza ignorances kwenye jamii, kuondoa uwezo wa kudadisi, kuuliza na kudadavua mambo muhimu yanayoihusu nchi na mustakabari wa jamii nzima ya kitanzania. Lengo la hao watu ni kusifia na kudanganya ili mradi tu wapate kuonekana na kujulikana kwa viongozi wakubwa wakifikiri labda ipo siku nao watajumuishwa kwenye teuzi mbalimbali nchini. Tubadilishe mitazamo yetu kwa kukiokoa kizazi kijacho na uchawa unaoendelea na unazidi kupandikizwa kwenye jamii na watu hawa wanaojiona ni wasomi lakini wako radhi kudanganya na kusifia hata pasipo stahili ili matumbo yao yawe sawa.
Pole nchi yangu Tanzania, mchawi mmoja tu, na akiondolewa huyo hatua kubwa ya kimaendeleo itapigwa
 
Wanyiramba hawana asili ya weupe. Wao ni weusi wenye meno ya kuungua kama Wachaga wa kishumundu. Huyo atakuwa mnyaturu. Tatizo Lenu mnadhani Kila atokaye singida au Kondoa ni mnyiramba
Makabila mengi wana watu wenye rangi mchanganyiko. Ikiwamo wanyiramba ambao wengi wao ni weupe na maji ya kunde. Weusi tii ni wachache.
 
Ndugu zangu nataka mtakasike. Amina

Hakika nimeangukia kwa mtoto wa kinyiramba. Mwanamke ni mweupe soft kweli kweli, mrefu wa wastani ,nyusi, nywele na kope za kuvutia . Ana macho flani hivi ya nyege..

Ndugu kabla sijamfungia ndani naombeni mnijuze tabia za hawa wasichana wakinyiramba waliozaliwa miaka hii ya 2000

Asanteni
ni wakarimu sana, hawanyimi mtu utelezi
 
Makabila mengi wana watu wenye rangi mchanganyiko. Ikiwamo wanyiramba ambao wengi wao ni weupe na maji ya kunde. Weusi tii ni wachache.
Mikorogo hiyo na make up. Wanyiramba Ukiondoa wale waliolewa na waarabu Koko ni maji ya kunde meno kama zile kande za kipare za kichemsha na magaidi bila kukoboa
 
Back
Top Bottom