kuna mmoja humu alianzisha uzi kua anaiomba serikali iwatambue kama wao ni kabila huru wasitambuliwe kama n wahaya nashukuru memba humu nao walimpinga vikali
kunasiku nilipomaliza chuo(unesi) nilienda kufanya kazi ya kuchuma chai pale njombe(luponde) sasa kuna kiongozi mmoja alikua ananinyanyasa sana kosa dogo tu ananikata kilo za chai sasa nilipomaliza mkataba nikawa najitolea hospitali moja bwana we kuna siku nilikua nagawa dawa za kufubaza nakaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.