Kwanini wanaotoa ushuhuda makanisani huwa hawachukuliwi hatua za kisheria?

Serikali haingiliani na mambo ya ibada na ndoto za kiimani
Historia inaonyesha, Ulaya serikali ziliongoza mambo mengi kupitia kwenye vitubio au Confession booth.

Watu wanakiri na kuongozwa kutoa siri zao kwa makasisi, wengine kumbe ni vibaraka basi siri za upande wa pili zinaingia upande wa pili.

Pia hata viongozi wa kiserikali katika kutubu kwa viongozi wa kidini walipeea maelekezo maalum mambo mengi yanayofanyika kwenye siasa yakawa ni matolea ya maelekezo ya kwenye vitubio.

Kuna kipindi france hizi mambo zilikuwepo.
 
Historia inaonyesha, Ulaya serikali ziliongoza mambo mengi kupitia kwenye vitubio au Confession booth.

Watu wanakiri na kuongozwa kutoa siri zao kwa makasisi, wengine kumbe ni vibaraka basi siri za upande wa pili zinaingia upande wa pili.

Pia hata viongozi wa kiserikali katika kutubu kwa viongozi wa kidini walipeea maelekezo maalum mambo mengi yanayofanyika kwenye siasa yakawa ni matolea ya maelekezo ya kwenye vitubio.

Kuna kipindi france hizi mambo zilikuwepo.
nimezingatia katiba ya JMT , ila raia wanahaki ya kuabudu nje ya hapo mengineyo ni nyuma ya pazia. nakubaliana nawewe
 
Moja kwa moja....

Nilimsikia mama mmoja anasema katika ulimwengu wa roho amechinja wachawi karibu mia, alipewa upanga na malaika. Sasa watu mia kuchinjwa rohoni ni upotevu mkubwa wa nguvu kazi.

Mwingine unamsikia anasema walikuwa wachawi, wanasababisha ajali, wanakinga damu. Wanajinadi kuwa wameua watu wengi. Hii ni kama Genocide ukijumlisha mauaji hayo ya ajali zetu kwa mwaka.

Mwingine alienda mbali eti hadi Hayati Mkapa alipopata ajali akiwa kwake Ikulu yeye na team ya wachawi walikuwa wanapambana naye. Hii sio ajabu maana Ikulu hadi Brazili na Malawi tulishasikia hayo ya watu kupigwa kishirikina hadi kukimbia Ikulu.

Hapo achilia mbali majambazi, wauwaji na watenda maovu ya kutisha wanapotoa shuhuda zao live tena kwa kushangiliwa na hatuoni wanapelekwa Jela kutumikia kifu go cha uharifu huo wakati hawajamjua Bwana Yesu.

Najiuliza kama mtumishi

Huwa tunapangwa tu na Serikali huwa inajua na kuamua kupotezea?

Hakuna ushahidi wa kisheria kuwachukulia hatua kwenye mambo ya kiimani?

Au Serikali inatambua makanisa ni chombo saidizi cha kubadili mienendo ya jamii hivyo wanasaidiwa kazi na wachungaji

Wakuu kitaalam hii imekaaje. Au wewe ulishawahi kusikia shuhuda gani za kutisha hadi ukageuka kuona kama kuna Polisi anasikia?
Shuhuda zile huwa ni katika uga wa kiimani. Mambo ya kiserikali hayaendeshwi kwa imani, bali through facts.
 
Shuhuda zile huwa ni katika uga wa kiimani. Mambo ya kiserikali hayaendeshwi kwa imani, bali through facts.
Kwenye imani mfano anasema aliingia kijijini gamboshi akapiga mishale watu mia ambao walikuwa wanamloga. Alafu kwenye uhalisia kweli kuna mauaji yamefanyika gamboshi ya watu wasipungua 80 kwa mishale na kunyongwa.

Hauni kama hapo kuna interest ya serikali. Maana hao hata kama ni wachawi bado ni raia.

Au vile vifo huwa ni story za imani tu havina uhalisia.
 
hata wewe unaweza ukawa umechinjwa. Maana za kuchinjwa kiroho ni zaidi ya moja.
1. Mtu akichinjwa kiroho anamaanisha amemuua kiroho. Mfano ulikuwa mfanyabiashara baada ya kufanyika mambo yao kiroho ufanya biashara wako unakufa. (japokuwa wewe unaishi lakini lile jambo zuri ulilopewa katika maisha yako linauawa)
2. pia wanaweza wakakuchinja ukafa hadi mwili.
NB. UPANGA NI NENO. MTU YEYOTE ALIYEPEWA NGUVU HIYO NA MUNGU AMA MIUNGU ANAWEZA KUFANYA HIVYO KUTOKANA NA AMRI ANAYOPEWA NA MUNGU AMA MIUNGU ILIYOMTEUA KUKAA KWENYE NAFASI HIYO.
 
Kwenye imani mfano anasema aliingia kijijini gamboshi akapiga mishale watu mia ambao walikuwa wanamloga. Alafu kwenye uhalisia kweli kuna mauaji yamefanyika gamboshi ya watu wasipungua 80 kwa mishale na kunyongwa.

Hauni kama hapo kuna interest ya serikali. Maana hao hata kama ni wachawi bado ni raia.

Au vile vifo huwa ni story za imani tu havina uhalisia.
Uchawi bado ni imani. Labda mfano mwingine; hata kama mmoja atashuhudia waziwazi kwamba alikuwa jambazi na alipora na kuua watu kwa silaha za moto bado serikali itafanya uchunguzi kwa taratibu zake including PGO na sio kumkamata kwa sababu kakiri katika kusanyiko la waabuduo. Na huu ni utaratibu wa toka kale; toka nyakati za mitume sio wa jana wala juzi.
 
hata wewe unaweza ukawa umechinjwa. Maana za kuchinjwa kiroho ni zaidi ya moja.
1. Mtu akichinjwa kiroho anamaanisha amemuua kiroho. Mfano ulikuwa mfanyabiashara baada ya kufanyika mambo yao kiroho ufanya biashara wako unakufa. (japokuwa wewe unaishi lakini lile jambo zuri ulilopewa katika maisha yako linauawa)
2. pia wanaweza wakakuchinja ukafa hadi mwili.
NB. UPANGA NI NENO. MTU YEYOTE ALIYEPEWA NGUVU HIYO NA MUNGU AMA MIUNGU ANAWEZA KUFANYA HIVYO KUTOKANA NA AMRI ANAYOPEWA NA MUNGU AMA MIUNGU ILIYOMTEUA KUKAA KWENYE NAFASI HIYO.
Yule mama niliyemsikia redioni anasema,
Kuna wabaya wake walikuwa wanamtesa mume wake, anasema alipewa upanga mkali kinyama, akaenda kuwachinja huko kwenye kambi yao


Anadai kulifanyika umwagaji damu mkubwa sana. Yaani damu ilitapakaa pori zima maana walikuwa wengi.

Sasa mkuu hii sio Genicide/ Mauaji ya kimbari. Au ni Spiritual genocide.
 
Yule mama niliyemsikia redioni anasema,
Kuna wabaya wake walikuwa wanamtesa mume wake, anasema alipewa upanga mkali kinyama, akaenda kuwachinja huko kwenye kambi yao


Anadai kulifanyika umwagaji damu mkubwa sana. Yaani damu ilitapakaa pori zima maana walikuwa wengi.

Sasa mkuu hii sio Genicide/ Mauaji ya kimbari. Au ni Spiritual genocide.
Kuna watu wengine wanatengeneza hadithi lakini wengine ni wanafanya hivyo.
Ajabu ni kuwa kama huna uwezo wa kuingia katika ulimwengu wa roho huwezi kuona ndiyo maana unasikia watu wanaenda kwa watu wenye uwezo huo kama vile baadhi ya watumishi wa Mungu au wengine huenda kwa waganga wa kienyeji.
Hebu fikiri mtu anakuroga mguu unakatika kabisa lakini huna uwezo wa kumshitaki kwa namna ya mwili japokuwa tunaona kabisa kwa jinsi ya mwili umekatwa mguu. Hivyo ni lazima upiganie katika ulimwengu uleule aliokupigia ndipo umshinde.
 
Kuna watu wengine wanatengeneza hadithi lakini wengine ni wanafanya hivyo.
Ajabu ni kuwa kama huna uwezo wa kuingia katika ulimwengu wa roho huwezi kuona ndiyo maana unasikia watu wanaenda kwa watu wenye uwezo huo kama vile baadhi ya watumishi wa Mungu au wengine huenda kwa waganga wa kienyeji.
Hebu fikiri mtu anakuroga mguu unakatika kabisa lakini huna uwezo wa kumshitaki kwa namna ya mwili japokuwa tunaona kabisa kwa jinsi ya mwili umekatwa mguu. Hivyo ni lazima upiganie katika ulimwengu uleule aliokupigia ndipo umshinde.
👏👏👏👏👏

Waefeso 6:12
Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
 
Kwenye sheria ya ushahidi kuna kitu kinaitwa Confession,mtu akifanya confession kanisani au kwa kiongozi yoyote wa kiimani huo ushahidi hauwezi kutumika dhidi yake.Yani hata ashike maiki kanisani atubu kwamba alikuwa jambazi akaua watu sheria haiwezi kumfanya chochote.
Hv akifanya confession kanisani au akiconfess mbele ya mtu ambaye hana mamlaka ya kusikiliza ambapo hao viongozi wa dini wanaangukia humo.
 
Mwingine unamsikia anasema walikuwa wachawi, wanasababisha ajali, wanakinga damu. Wanajinadi kuwa wameua watu wengi. Hii ni kama Genocide ukijumlisha mauaji hayo ya ajali zetu kwa mwaka.

Hawa ni matapeli kama matapeli wengine tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu, na wanalipwa kwa shuhuda hizo za uongo na wengine wanapigwa pu pia
 
Back
Top Bottom