the say
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,640
- 3,120
Umesahau na umemeKuwachukulia hatua watu wajinga na wendawazimu, ni matumizi mabaya ya sheria za nchi. Mimi nadhani serikali ijikite zaidi kuboresha huduma
za jamii kama elimu, afya, nk ili kupunguza hili tatizo.