Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 811
- 2,028
- Thread starter
- #21
Huo uchokozi sasaNa kama ni last born hakawii kuvunja simu
Huo uchokozi sasaNa kama ni last born hakawii kuvunja simu
Bado tusibilie maoni ya wengineMada ifike tamati.
Kwahiyo mwanamke tuseme anafyatuawanaozalisha ni manesi na madaktari
yaan full tafrani.Kaambiwa 'hongera kwa kuzaa' amemind
jamani poleeeWamenivuruga . Tangu lini mwanaume anazaa ? We unaona ni Sawa ?
Na kujifungua?Wanaozalisha ni wakunga
Sisi wanaume tunaweka mbegu
Na kujifungua?wanaozalisha ni manesi na madaktari
Sawa,Mwanaume akipata mtoto usimwambie hongera kwa kuzaa, mwambie hongera kwa kuzalisha. Wanaume huwa hawazai wanazalisha, waalimu wa somo la Kiswahili mnatakiwa kulaumiwa Sana watu wengi hawaongei kiswahili fasaha.
Itume pole PM ndio nitaipokeajamani poleee
Elewa Kiswahili boss . Kuna kuzaa na kuzalisha , mwanaume anazalisha a mwanamke anazaaSawa,
Kwa hiyo wanaposema utaje jina la wazazi au mzazi wako wanakua wanamaanisha mama tu? Sababu Kwa maelezo yako Baba anakua sio mzazi wako sababu hawezi kukuzaa
Achana na kuzaa au kuzalisha,Elewa Kiswahili boss . Kuna kuzaa na kuzalisha , mwanaume anazalisha a mwanamke anazaa
Karata yako undhani umeicheza vizuri? Maana mzazi ni mtu anayeweza kuzaa au hata kuzalisha. Kwa hiyo hujamkamata bado, japo hayuko sahihi.Achana na kuzaa au kuzalisha,
My simple question ni kua Baba yako ni Mzazi wako?
Tukubaliane kwanza Mzalishaji ni Mkunga, Nesi au Daktari. Yule anaemsaidia mjamzito kuzaa. Hakika huyu sio Mzazi, so uko wrongKarata yako undhani umeicheza vizuri? Maana mzazi ni mtu anayeweza kuzaa au hata kuzalisha. Kwa hiyo hujamkamata bado, japo hayuko sahihi.
Mantiki yangu ilikuwa kwamba kila mtu anaweza kuwa mzalishaji; hata yule asiyeweza kuzaa.Tukubaliane kwanza Mzalishaji ni Mkunga, Nesi au Daktari. Yule anaemsaidia mjamzito kuzaa. Hakika huyu sio Mzazi, so uko wrong
iambatane na nn?Itume pole PM ndio nitaipokea
Ukinitumia na makopakopa itapendezaiambatane na nn?
Ndg yang umefafanua vizuri sana , una karama ya ualimu , bahati mbaya sio kazi yako , ila ungekuwa mwalimu darasa zima lingefaulu mitihani ya NECTAKuzalisha - mkunga, muuguzi, daktari, au mtu yeyote anayeweza kumsaidia mjamzito ajifungue
Kuzalisha - mchakato wa shughuli kama vile viwandani. Mfano: Kuna tatizo kubwa la uzalishaji wa bidhaa nchini.
Kuzaa - kujifungua (mwanamke)
Kuzaa - sifa asilia ya kiumbe hai chochote (kuogeza aina-nafsi husika, bila kujali jinsi)
Kuzaa - kuongezeka idadi, kupata matunda au mafanikio (mali, fedha, viumbe, nk).
Kuzaa - mwanamke kuwa na uwezo na kupata mimba; mwanaume kuwa na uwezo kutungisha mimba
Kuzaa - kuibua, kuchochea, kuamsha, kusababisha (induce, bring about, derive (zaari)
Kuzaa - to bypass. ^Alizaa ushauri wa marafiki zake, akaamua kuchepuka na kuzaa na mpenzi wake.^
Ni mzazi maana amekamilisha mchakato wa kutengeneza kiumbe kwa kuzalishaAchana na kuzaa au kuzalisha,
My simple question ni kua Baba yako ni Mzazi wako?