kijana13
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 1,981
- 3,615
Mtu unayemdharau either Kwa mwonekano au kazi anayofanya .wengi wamebeba vitu unavyohitaji maisha mwako 100%.kama Kuna kitu unakihitaji duniani haijalishi nicha ukubwa kiasi gani basi watu wa Hali hiyo wanajua namna gani ya kukusaidia...
Mimi nilishasaidiwa vitu viwili vikubwa sio vidogo na MUUZA MAJI YA MADUMU anayesambaza kwenye majumba..unaweza kusema mtu huyu atanisaidiaje na Hali yake hii ya chini? Nilidhani mtu anayevaa tai na smart ndio anaweza kunisaidia ..Ukimwona mtu anafanya kazi ya Hali ya chini usimdharau wengi wao huwa pia na michongo mikubwa Sana na wakikupa unatoboa..
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mimi nilishasaidiwa vitu viwili vikubwa sio vidogo na MUUZA MAJI YA MADUMU anayesambaza kwenye majumba..unaweza kusema mtu huyu atanisaidiaje na Hali yake hii ya chini? Nilidhani mtu anayevaa tai na smart ndio anaweza kunisaidia ..Ukimwona mtu anafanya kazi ya Hali ya chini usimdharau wengi wao huwa pia na michongo mikubwa Sana na wakikupa unatoboa..
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app