Wasiwasi
Hofu
Mashaka
Msongo wa mawazo.
Baadae nilikuja kukubaliana na uhalisia.Mtoto anatimiza 6 years soon.
Ana akili,mwelevu,mtiifu,ana uwezo mkubwa sana wa kuhoji.I'm very proud.
Kwetu wanaume,haijalishi uko na mazingira gani,usije kataa mtoto,usije telekeza mtoto,usije kubali mwanao aishi...
1.Kwa kozi atakayochaguliwa ajitahidi awe mzuri sana sio kwenye mitihani tu lakini tu hata kiutendaji mfano kupresent kazi za darasani na kama kozi zina practical awe mzuri zaidi na huko.
2.Awe mwepesi kushirikiana na wengine academically,kwa anachojua awe mwepesi kuwashirikisha wenzake na...
Safi sana mkuu,hicho unachofanya unawaandaa waje pia kuwa wazazi bora sana badae,maana wanasema mtoto anajifunza zaidi kwa kile anachoona unafanya kuliko kile unachomwambia.
Kwanza hongera kwa kuwa karibu na familia,na kuweza kujenga upendo na ushirikiano na mkeo katika kuhudumia watoto.
Kama itakupendeza,waanze pia kufundisha kujifanyia vitu wao wenyewe,kama kuvaa,kuchana nywele,kupaka mafuta,hata kuoga,itawajenga zaidi.Kuliko kuwafanyia kila kitu.
Japo ni kama...
Jamaa yako ashukuru sana kwa hilo.Akamilishe hilo suala la kuripoti sehemu husika,asitishe pesa iliyokuwa inaenda kwa mwanamke na pango na kila kitu na hizo nguvu azitumie kwenye kulea hao watoto.
Kwa aina hiyo ya mwanamke,hao watoto wangeishia kuteseka tu na kupata malezi ya ovyo.Ni kama...
Ushauri utapata,but deep down inside wewe ndiye unayejua ulikua unaishije na namna gani lifestyle yako ilikugharimu kukuleta hapa ulipo.
Kama unajua wapi ulikosea ni wewe mwenyewe ndiye unayeweza kubadili ili usiyarudie yale uliyopitia.Ushauri unaweza kukusaidia kwa may be 20% but kwa 80% ni...
Najua hujakurupuka na UNAJUA ulichoandika.
Lakini kama umeoa au umewahi kuoa na kuacha au kuachwa labda uzi wako ungekua tofauti.
Kuna watu wameoa katika mazingira hayo juu(mengi sio yote) na wanaishi vizuri miaka mingi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.