Nmepata kazi nyingine, mshahara mdogo. Nipeni ushauri jinsi ya kuadjust lifestyle

Hello,
Jamani mdgo wenu nilipata ajira ya million I0 kwa mwezi nikaichezea mpaka Contract inaisha hamna Cha maana nilichofanya.
Wengi mlinisimanga sana humu.

Lakini Sasa nimejiunza, na kwa bahati nzuri nmepata kazi nyingine ambayo take home itakuwa 1.3M
Najua itakuwa ngumu maana nilikuwa nishazoea kuspend at least mil5 kwa mwezi kama matumizi ...ulitabidi nijiadjust.

Naombeni round hii wanaJf msinibanie, mdogo wenu mnihurumie mnipe maushauri ya maana.
Naombeni mipango Nifanyeje ili nisije kurudi Tena kwenye umasikini?
Utakuwa na zali kama mwanangu fulani mbura... Alimaliza chuo akawekwa wizara, ulevi na kutoenda kazin ukamfukuzisha kazi, akapelekwa BOA bank ulevi na utoro plus siku kamtukana boss wake mbele ya watu akiwa amelewa bado hakufukizwa, baadaye akapga akafukuzwa, akapelekwa Tanapa, ulevi na utoro akafukuzwa.
Sasa yapata mwaka wa 4 maisha yameenda kombo karudi bush.
Sema jamaa alikuwa na zali kama wewe yani huchelewi unadaka mchongo
 
Ushauri utapata,but deep down inside wewe ndiye unayejua ulikua unaishije na namna gani lifestyle yako ilikugharimu kukuleta hapa ulipo.

Kama unajua wapi ulikosea ni wewe mwenyewe ndiye unayeweza kubadili ili usiyarudie yale uliyopitia.Ushauri unaweza kukusaidia kwa may be 20% but kwa 80% ni wewe mwenyewe.

Kila la heri.
 
Muandiko wako tu unaonyesha katika maisha yako yote haujawahi kushika hata 1,000,000 ya mtu mwingine, acha ya kwako mwenyewe.
 
Watu wanataman hata wapate nusu mshahara/la angarau wa kima cha mwalimu wa primary then kuna ninyi wazee wa majigambo mnachezea na kuleta sifa.

Hiyo take home ni kiasi kikubwa sana kwa ajira za Tz, acha mbwembwe wewe kijana huo mshahara wanapokea watu na degree zao kabla ya makato na wanaSurvive vzr.
 
Hello,
Jamani mdgo wenu nilipata ajira ya million I0 kwa mwezi nikaichezea mpaka Contract inaisha hamna Cha maana nilichofanya.
Wengi mlinisimanga sana humu.

Lakini Sasa nimejiunza, na kwa bahati nzuri nmepata kazi nyingine ambayo take home itakuwa 1.3M
Najua itakuwa ngumu maana nilikuwa nishazoea kuspend at least mil5 kwa mwezi kama matumizi ...ulitabidi nijiadjust.

Naombeni round hii wanaJf msinibanie, mdogo wenu mnihurumie mnipe maushauri ya maana.
Naombeni mipango Nifanyeje ili nisije kurudi Tena kwenye umasikini?
Mkuu unakubali vipi mshahara wa 1.3 M kwa maisha haya?
 
Eti mdogo mm na BA yangu nimejiegesha sehemu napata 200k naona fresh life lisonga ilimradi najikimu ww 1.3M unauona mdogo daah ebu nitafutie na mm hata wa 350k mm ntafanya tu kiongoz
 
Watu wanataman hata wapate nusu mshahara/la angarau wa kima cha mwalimu wa primary then kuna ninyi wazee wa majigambo mnachezea na kuleta sifa.

Hiyo take home ni kiasi kikubwa sana kwa ajira za Tz, acha mbwembwe wewe kijana huo mshahara wanapokea watu na degree zao kabla ya makato na wanaSurvive vzr.
Okay sawa,,,,Sasa nishauri niutumieje ili kujijenga vizuri zaidi kiuchumi, maana sidhan kama ntaweza hata kujenga kwa huu mshahara
 
Ushauri utapata,but deep down inside wewe ndiye unayejua ulikua unaishije na namna gani lifestyle yako ilikugharimu kukuleta hapa ulipo.

Kama unajua wapi ulikosea ni wewe mwenyewe ndiye unayeweza kubadili ili usiyarudie yale uliyopitia.Ushauri unaweza kukusaidia kwa may be 20% but kwa 80% ni wewe mwenyewe.

Kila la heri.
Ushauri mbona sipati?
 
Utakuwa na zali kama mwanangu fulani mbura... Alimaliza chuo akawekwa wizara, ulevi na kutoenda kazin ukamfukuzisha kazi, akapelekwa BOA bank ulevi na utoro plus siku kamtukana boss wake mbele ya watu akiwa amelewa bado hakufukizwa, baadaye akapga akafukuzwa, akapelekwa Tanapa, ulevi na utoro akafukuzwa.
Sasa yapata mwaka wa 4 maisha yameenda kombo karudi bush.
Sema jamaa alikuwa na zali kama wewe yani huchelewi unadaka mchongo
Kuna watu wanamazali.
 
Back
Top Bottom