Mimi baba wa watoto watatu ratiba yangu ya asubuhi na jioni

RATIBA YA ASUBUHI
  • Naamka saa 11 au 12 kutegemeana na shughuli za siku.
  • Nikiamka saa 11 ujue na shughuli na mama yoyo.
  • Nikiamka saa 12 cha kwanza nachukua nguo za watoto( wawili wanafunzi) na zangu na kuzinyoosha.
  • Muda huo wife anakuwa anapambana na kuwaogesha. Akimaliza kuwaogesha nampokea kuwapaka mafuta na kuwavalisha ( muda huo wife anakuwa anawapikia breakfast).
  • Baada ya hapo naenza kujiandaa mwenyewe kwa ajili ya kwenda kwenye miangaiko. Asubuhi huwa natoka nao hadi kwenye kituo ambacho huwa wanachukuliwa na school bus.
  • Wakishachukuliwa mm ndo huwa naenda kutafuta usafiri wa kwenda kwenye mihangaiko yangu.

RATIBA YA JIONI
  • Huwa najitahidi by saa 11 niwe home.
  • Nakuta watoto wamerudi muda si mrefu, so naoga then naanza fanya nao home work.
  • Wakamimaliza homework natafuta kinywaji changu pendwa na kuanza kusip nikisubr msosi wa usiku..
  • Wadau kwa ratiba yangu hii nyie mnaionaje, ratiba yako wewe ipoje?
Maisha ni kuchagua mkuu! Nawe tumeuona uchaguzi wako, uko vizuri
 
RATIBA YA ASUBUHI
  • Naamka saa 11 au 12 kutegemeana na shughuli za siku.
  • Nikiamka saa 11 ujue na shughuli na mama yoyo.
  • Nikiamka saa 12 cha kwanza nachukua nguo za watoto( wawili wanafunzi) na zangu na kuzinyoosha.
  • Muda huo wife anakuwa anapambana na kuwaogesha. Akimaliza kuwaogesha nampokea kuwapaka mafuta na kuwavalisha ( muda huo wife anakuwa anawapikia breakfast).
  • Baada ya hapo naenza kujiandaa mwenyewe kwa ajili ya kwenda kwenye miangaiko. Asubuhi huwa natoka nao hadi kwenye kituo ambacho huwa wanachukuliwa na school bus.
  • Wakishachukuliwa mm ndo huwa naenda kutafuta usafiri wa kwenda kwenye mihangaiko yangu.

RATIBA YA JIONI
  • Huwa najitahidi by saa 11 niwe home.
  • Nakuta watoto wamerudi muda si mrefu, so naoga then naanza fanya nao home work.
  • Wakamimaliza homework natafuta kinywaji changu pendwa na kuanza kusip nikisubr msosi wa usiku..
  • Wadau kwa ratiba yangu hii nyie mnaionaje, ratiba yako wewe ipoje?
Safi sana.
 
Work-life balance ni ya muhumi sana, kutenga muda kuwa na wapendwa wako ni jambo zuri sana na la kibaraka, ni vyema kuwa na muda wa kufurahi na wanafamilia inapunguza stress kazini na kuongeza ufanisi, sio unakua mtu wa kazi kazi na viporo unabeba unaenda kufanyia nyumbani yani unatengeza umbali sana na wanafamilia hata hawakufurahi
 
Daaah huyu jamaa anaratiba ya ovyo sana ,,Hana hata muda wa kufanya mazoezi,,muda wa kwenda kwenye mkahawa,,bila shada atapata pressure sio mda mrefu

Daaah huyu jamaa anaratiba ya ovyo sana ,,Hana hata muda wa kufanya mazoezi,,muda wa kwenda kwenye mkahawa,,bila shada atapata pressure sio mda mrefu
Tupe ratiba yako mkuu tujifunze
 
RATIBA YA ASUBUHI
  • Naamka saa 11 au 12 kutegemeana na shughuli za siku.
  • Nikiamka saa 11 ujue na shughuli na mama yoyo.
  • Nikiamka saa 12 cha kwanza nachukua nguo za watoto( wawili wanafunzi) na zangu na kuzinyoosha.
  • Muda huo wife anakuwa anapambana na kuwaogesha. Akimaliza kuwaogesha nampokea kuwapaka mafuta na kuwavalisha ( muda huo wife anakuwa anawapikia breakfast).
  • Baada ya hapo naenza kujiandaa mwenyewe kwa ajili ya kwenda kwenye miangaiko. Asubuhi huwa natoka nao hadi kwenye kituo ambacho huwa wanachukuliwa na school bus.
  • Wakishachukuliwa mm ndo huwa naenda kutafuta usafiri wa kwenda kwenye mihangaiko yangu.

RATIBA YA JIONI
  • Huwa najitahidi by saa 11 niwe home.
  • Nakuta watoto wamerudi muda si mrefu, so naoga then naanza fanya nao home work.
  • Wakamimaliza homework natafuta kinywaji changu pendwa na kuanza kusip nikisubr msosi wa usiku..
  • Wadau kwa ratiba yangu hii nyie mnaionaje, ratiba yako wewe ipoje?
Mkuu tafuta hela uachane na kufanya kazi za housegirl. Kuna kitu inaitwa 'division of labour'. Mbaba mzima unafanya kazi za ma-house girl! Wao wakale wapi sasa.
 
Back
Top Bottom