Jamani nimesikia tangazo ila sikusikia wapi inafanyika Leo yamoto band na skylight band wanapiga show pamoja naomba aliyesikia Hilo tangazo inafanyika wapi please
Ameuliza port charges jamani,mwambie agent akipata invoice ndio ukalipe.usimpe kwanza hiyo wanafanya calculations bandari wenyewe na ICD. Mara nyingi kwa TI ni 250,000 mpk 270,000
Jamani mtu mwenye CPA anahitajika experience ya hata 2 years yatosha kuwa chief accountant sehemu.mwenye interest please call me kwa maelezo.0655385400 pa kupeleka cv na ukaonane na nani
Zipo za cc 2490,very luxurious spare bei za kawaida,mafuta wasichakschue inachagua mafuta kwa ufupi.peleka petrol station za kueleweka.taa ya check engine inaweza kuwaka bure.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.