Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,342
- 10,962
Mbona kama sisi hatukabi kihivyoo kama waarabu? Ama naona gap kwa sababu tuko pungufu?
We unafikiri rede hii?
Mbona kama sisi hatukabi kihivyoo kama waarabu? Ama naona gap kwa sababu tuko pungufu?
kwani huko,wachezaji hawafanyiwi random dope test???Boban kama siyo cha Arusha ni mzuri sana katika mipira ya mwisho.
Kama unaongelea magoli ya bahati au kuwalipa marefa brown Envelopes ni sawa lakini sio mpira. Tunafahamu Chelsea jinsi wanavyoshinda.
usihofu bofya hapa utapata live bila chenga;(tufuta morocco vs. Tanzania)
online television - free online streams and scores - live tv sports
wadau tupien bas matokeo yastars vs morroco
Wadau tupien bas matokeo yastars vs Morroco
Gambia 0-3 Ivory cost!!Tuambieni na mechi ya Kina Drogba matokeo yanaendaje maana ndio watu wetu hao
Gooooooooooooo
Sent from my HTC Desire S using Tapatalk 2
Umeme wenye nchi wamechukua