Habari wapendwa,
Wale walioomba nafasi za kazi UDSM May 2016 wameanza kuita watu. Usaili utafanyika Jumatatu 04.07.2016.
Msikae mbali na simu zenu, mimi nimetumiwa SMS na kupigiwa simu.
Magogoni hiyo hiyo ya anko mtumbaji, opp na OWM nyuma ya Wizara ya ardhi.
ni Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania ambacho kina Matawi Tabora, Tanga, Singia, Mbeya, Mtwara na hapa Dar, kozi zinazotolewa ni Secretarial Studies Cert&Dip, Records Mngt Cert&Dip, Accounts, HR, Librarian na nyingine...
Mkuu nina uhakika 100% hiyo kozi magogoni ipo sio kwa kuambiwa na huyo Lulu nimemwona kwa macho yangu sasa wewe sijui nani kakambia hiyo kozi haipo. tafuta namba za chuo piga halafu uulize, labda ifutwe kesho
inaelekea hujanielewa kabisa lakini mimi naona nimeeleweka kwa kusema aliye tayari aje inbox ndiko tutapeana full details. sasa nimepata ma PS 4 inbox na mchakato itaanza next week
Habari wapendwa,
Mimi ni Personal Secretary nimeajiriwa na utumishi nafanyia kazi Mbeya mjini, lakini mume wangu anaishi na kufanya kazi Dar.
Natafuta mtu wa kubadilishana naye yeye atoke Dar aje Mbeya na awe ameajiriwa na utumishi, kwa aliyetayari naomba aje inbox
Eti kuelekea shimoni nani kakuambia? aibu yenu yaja Oct. CCM Mbele kwa mbele na rudia tena mbele kwa mbele nasema tena mbele kwa mbele daima nyuma mwiko, namalizia mbele kwa mbele kuelekea IKULU, hapa KAZI TU MAJUNGU PELEKA UKAWA, Hapa KAZI tu MATUMAINI PELEKA ANGAZA
Hivi we mleta mada akili zako zimetulia kweli huna hata haya kuandika uongo na kuwadhalilisha walimu wamekukosea nini? hii video ilishasambaa sana mwaka jana sasa wewe leo umetumiwa kwenye ki WhasApp chako ndo unaileta humu. kuwa mstaarabu acha kuandika vitu vya kusimuliwa jamii forum haitumiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.