kaka siku zote mliwa nae uliwa so kama upendi mke wako aliwe basi usipende kula wake za wenzako.ila ushauli wangu ni kuachana na mazoea na uyo mama mapema kabla ayajaibuku makubwa zaidi ya hayo na isitoshe mumeo aumjui.mjenge manzingira ya mumkwaza ili asiwe na hamu ya kukuona kabisa
kero yangu ni iyo ya viongozi kusema kwamba ppf itoe mafao ndani ya miaka 55 ya mwajiri kustafu.asa ataitumiaje na vijana wengi wa sasa ni vigumu kufikia hiyo miaka na nibora wangekuwa wanatoa kutokana na mkataba kati ya mwajiriwa na mwajili wake kuisha ili aendelee kuifanyia matumizi wengine ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.