Daaah vijana wanawehuka mapema sana,kuna aina fulani ya maisha huwa wanailazimisha halafu aina hiyo huwalazimisha wao iwafuate,mwisho wa siku wehu wanakuwa wengi mitaani na madhara kama haya kwa familia hujitokeza.
Nimpe pole aliyepatwa na mkasa huu,iwe funzo pia kwetu kuwa hata kama hatutoi basi walau kwa mwezi uwe unaangalia kasalio ili kujiridhisha na 'wadukuaji' kama hao.
NMB inabidi wawe wakali kwa wafanyakazi wao vinginevyo hii itawapunguzia kuaminiwa.
Kuna jamaa yangu ana ist nilimuomba nienda sehumu fulani hivi Jumapili iliyopita kukiwasha nikaona steering ina vaibreti nikaenda nako kiugumu baada ya kilomita kadhaa kakawasha taa ya check injini kurudi pia ikawa hivyohivyo,nikamtonya akasema na mimi huwa inakuwa hivyohivyo kifupi nilimshauri...
Nakoleza wino kabisaaaa,kuna fundi nilitamani kama kupiga walahi tena daaa,makadirio tulifanya wote na sehemu nyingine nikashauri tuongeze kilichotokea mbele ya safari...Mungu anajua aiseee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.