habar wana jf
hem naomba ushauri wenu,ni jambo gani hasa la awali kumuashiria au kumuonesha mtu(awe m/mke au m/mme) ambae umemzimikia ili aweze kubrainstorm kama unampenda
kiukweli mdau naweza kusema kwamba bado chuo changu hakijanifundisha the way ambavyo research zinafanya kwa sababu format ya chuo chetu ni kwamba course hio inafundishwa mwaka wa tatu semister ya kwanza, na ahata hio research yenyewe inafanya mwaka wa tatu ila,sisi baada ya kuwaona wenzetu wa...
Habar zenu wadau
Mimi ni mwanafunzi nasoma Zanzibar University, mwaka wa pili 1st degree katika combination ya biology chemistry (EDUCATION) na hiki kipindi tulichonacho tumekabiliwa na ufanyaji wa research hivyo naomba msaada wenu kuhusiana na procedures zote za kufuata kuanzia tangu kwenye...
Hapana,ni kwamba mimi ni mgeni kuhusu matumizi ya computer hata yale ya kawaida kama vile microsoft words and exel,hivyo nilikua naomba msaada kama humu jf naweza kupata japo kama video zinazohusu kufundisha hizo course
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.