Watu wa mikoa mingine ni wajinga, uselfish mwingi,Maringo mengi,Harafu hawathamini makwao,Huwezi kukuta wachaga wapo ofisi moja halafu wanachongea hili never,ila makabila mengine haya roho mbaya,husda kibao,Yaan hata amiwa kitengo ukimwambia nipigie pande atajizungusha mpaka unakataa...
Habari wakuu..
Nimejaribu kufuatilia uvumi wa Serikali kuanza kujipa tenda mbalimbali zikiwemo za ukandarasi
1.kuna zile Hostel za Udsm Serikali imejipa tenda yenyew....
2.Kuna ujenzi wa NHC nako Serikali imejipa Tender yenyew...
Sasa swali hivi huo mzunguko wa Pesa utatoka wapi ile hali pesa...
Nina tatizo hili Pia...mpk sasa nipo kwenye ugomvi mkubwa sana na mpenz wangu ananiambia kila baada ya sex tumbo hua linamsumbua sana...hivyo nilimwambia tuachane hajanipa jibu mpk leo....mpk sas kula mzigo ananikwepa na nimejarbu kwenda kwa madaktari ushauri nikiopewa ni sawa na huo jamaa...
Natumai wanajamvi baada ya weekend ndeeefu kua ukingoni na kesho tunaendelea na majukum kama kawaida
Jamani mie nina Swali langu kama kichwa cha Habari kinavyojieleza hapo Juu.
Hizi Nyumba za Soth africa ambazo Naoana Diamond na Doctor Mwaka wamenunua uzuri wake na Bei kama haviendani...
Habari wakuu..
Kama alivyosema yeye mwenyew Dangote kua amegiza Maroli 600 na yameshafika Bandarini ni kweli Yamesha wasili na Meli moja kubwa toka Uchina....Hapa naona Ajira 1200 yaani madereva 600 Matingo 600...Hongera Serikali ya JPM.
Utakuta kwenye Halmashauri kuna wachumi wa halmashauri 7,Wahasibu 5 cjui afisa mipango 6,afisa ustawibwa jamii 4,cjui Wanasheria wa Halmashauri 4...sasa jaman kweli kwa mtindo huu tutafika? mbn hizo zingefnywa na mtu1 tu hapo....
Mfano Kampuni kama Vodacom ni kubwa sana ila ina mwanasheria 1...
Habari zenu wanajamvi natumai Jumapili inaenda vyema..
Napenda nijitokeze kumuunga mkono Mh.Paul Makonda kwa Swala alilosema kua Serikali inatakiwa ipunguze wafanyakazi...
Ni kweli Serikali inabidi iangalie swala hili kwa undani sana maana Serikali ina wafanyakazi wengi na wenyew vyeo visivyo na...
Habari za mchana wanajamvi,
Poleni kwa msiba wa Bw. Samwel Sitta Mungu amlaze Mahala Pema Peponi. Amen.
Najitoza kwenu kuhoji juu ya mabilioni ya pesa yalichangwa na wahisani mbalimbali kutoka na maafa ya yaliyotekea Kagera/Bukoba kwa ajili ya Tetemeko. Tuliona matajiri waliitwa na kamati ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.