Tena wanatunza Ili wakipatwa na shida waje kupiga mizinga,wapo tayari kutoa chochote.nimeshatafutwa sana,una shangaa za siku? Za miaka,upo? Umenisusa?!
Mithali 15:27
[27]Atamaniye faida huifadhaisha nyumba yake mwenyewe;
Bali achukiaye zawadi ataishi.
He that is greedy of gain troubleth his own house; but he that hateth gifts shall live.
Unapofanya tendo la ndoa na Mtu yeyote, unajenga muunganiko wa kiroho na kimihemko, na huyo mtu.
Ni jambo gumu sana kumsahau mtu ambaye mlikuwa na uhusiano wa namna hiyo, hamjaachana Kwa vita au uhasama mkubwa. Kila mkionana miili yenu na roho zenu zitashabihiana.
Haijalishi miaka mingapi...
Mkuu wadada wa siku hizi,anaweza onyesha viashiria kuwa amekuelewa,ukawa huna shaka,wangapi wanaachwa? Sio wajinga, Naamini wanaume wengi tunapenda kutoa Hela Kwa wanawake kama ishara ya Upendo, support,kuonyesha uwezo wa kubeba majukumu n.k
Kiroho huwezi kupenda bila kutoa,kumbuka
Kweli Mkuu,Kuna watu niliwahi kuwakopesha,kuwasaidia,Mimi sikumbuki,ila nikionana nao wamechoka,wananieleza nilivyowakopesha,hata sijui ni lini na kiasi gani.nafuu anayekudai Kuliko anayekaa kimyaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.