Huo ni ukwel kabisa mkuu hawa jamaa wanashirikiana na airtel kuiba.juz kati nilitumia nmb mobile kuhamisha huduma ya muda wa maongez tsh 5500 kilichotokea walisema externel application down ila pesa wakakata bila kuongeza salio.. Wizi huu upo wazi sana kuwen makini hata km bdo hujaibiwa ila...
huyu jamaa anajiamini sana kwa kudhani nchi hii ni mali ya ccm...anafanya kila aina ya jeuri uzushi na hila chafu kwa chadema akiamini wananchi wataichukia chadema...wananchi tupo makini kwa sasa na tunazifahamu dhuluma na uonevu unaofanywa na serikali ya ccm...hvyo kuipaka matope chadema...
wanajeshi wawili wamekuja kugonga mlango wetu kwa nguvu sana hapa maeneo ya kiyangu wakitukana k*** *** zenu zimeni tv...da!ikabdi masela wote tukimbilie chumban da naanza kuhsi hali ya kuibiwa ibiwa hivi...kiyangu ni mtaa ambao haujaathiriwa sana na vurugu tangu juzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.