Huo ni ukwel kabisa mkuu hawa jamaa wanashirikiana na airtel kuiba.juz kati nilitumia nmb mobile kuhamisha huduma ya muda wa maongez tsh 5500 kilichotokea walisema externel application down ila pesa wakakata bila kuongeza salio.. Wizi huu upo wazi sana kuwen makini hata km bdo hujaibiwa ila...
huyu jamaa anajiamini sana kwa kudhani nchi hii ni mali ya ccm...anafanya kila aina ya jeuri uzushi na hila chafu kwa chadema akiamini wananchi wataichukia chadema...wananchi tupo makini kwa sasa na tunazifahamu dhuluma na uonevu unaofanywa na serikali ya ccm...hvyo kuipaka matope chadema...
wanajeshi wawili wamekuja kugonga mlango wetu kwa nguvu sana hapa maeneo ya kiyangu wakitukana k*** *** zenu zimeni tv...da!ikabdi masela wote tukimbilie chumban da naanza kuhsi hali ya kuibiwa ibiwa hivi...kiyangu ni mtaa ambao haujaathiriwa sana na vurugu tangu juzi
la sita nimelisikia muda huu nje naona makarandinga ya jeshi yanapita kwa speed kubwa,..cha kushangaza hii milio ni mikubwa kuliko yale tuliyoyazoea ya jana na juzi...siju wanajesh wameshakunywa viroba wanapiga tu,au hawa polisi wetu wezi ama wananchi!kuna hali ya sintofahamu
chemba a.k.a bukoba boy...Chadema haitakufa kwa mkanda wa lwakatare wala mbinu zenu za kimafia zinazofanywa na chama chenu cha mafisadi...hata ukipata kilakitu unachokitaka katika ulimwengu huu bwana bukoba boy lakini kama huna upendo wewe si kitu kabisa mbele za mungu...ITS BETTER TO BE IN THE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.