TANGAZO TANGAZO KWA WALIMU WANAOHITAJI KUJIENDELEZA.
KAMPASI YA ADEM MBEYA IMEANZA KUTOA MAFUNZO YA 1. DIPLOMA YA UONGOZI WA ELIMU (DEMA/DELMA)
2. DIPLOMA YA UTHIBITI UBORA WA SHULE (DSQA) KWA NJIA YA KUSOMA WAKATI WA LIKIZO (BLENDED) KUANZIA OKTOBA 2023.
FOMU ZINAPATIKA KWENYE Website yetu ya...
Simu ni TECNO BOOM J5,
ina mwaka mmoja tangu inunuliwe na
Inaoperate vizuri tu.
Ila kwa sasa betri yake imeshaanza kuchoka.
Naomba kujuzwa kama betri mpya za Hii simu zinapatikana.
NB: Nimeangalia kupitia utaratibu wa TCRA,
Hii haimo miongoni mwa zitakazozimwa mwezi Juni.
Nisaidieni...
Simu ina mwaka mmoja tangu inunuliwe na
Inaoperate vizuri tu.
Ila kwa sasa betri yake imeshaanza kuchoka.
Naomba kujuzwa kama betri mpya za Hii simu zinapatikana.
NB: Nimeangalia kupitia utaratibu wa TCRA,
Hii haimo miongoni mwa zitakazozimwa mwezi Juni.
Nisaidieni upatikanaji wa betri.
Simu ina mwaka mmoja tangu inunuliwe na
Inaoperate vizuri tu.
Ila kwa sasa betri yake imeshaanza kuchoka.
Naomba kujuzwa kama betri mpya za Hii simu zinapatikana.
NB: Nimeangalia kupitia utaratibu wa TCRA,
Hii haimo miongoni mwa zitakazozimwa mwezi Juni.
Nisaidieni upatikanaji wa betri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.