Search results

  1. Akademician

    Naomba ushauri wa kusoma "Masters"

    Jaribu kunitumia mimi ujumbe.
  2. Akademician

    Naomba ushauri wa kusoma "Masters"

    Nimekutumia ujumbe PM, Ucheki mkuu.
  3. Akademician

    Naomba ushauri wa kusoma "Masters"

    Mleta mada chukua ushauri huu, Utakuja kumshukuru huyu ndugu miaka michache ijayo.
  4. Akademician

    Msaada: Nahitaji majina ya watoto wa Kike na Kiume ya Kiafrika, yasiwe ya Kizungu, Kiarabu wala Kiswahili

    Luaga, Mpina, Tundu, Lisu, Mwigulu, Nchemba, Lengai, Ole, Sendeka, Wasira, Rweyemamu, Kitila, Mkumbo, Ndalichako.
  5. Akademician

    Miaka 8 bila kazi, tangu nimalize chuo kikuu

    Mleta uzi anaingizwa kwenye 18 soon hapa.
  6. Akademician

    Miaka 8 bila kazi, tangu nimalize chuo kikuu

    Bwiru Boys umeitaja, Ila umekisahau chuo ulichosomea IT mkuu, Tutajie, classmates wako watakushika mkono hapahapa.
  7. Akademician

    Miaka 8 bila kazi, tangu nimalize chuo kikuu

    Naomba kujua maana ya OP kwa humu JF mkuu.
  8. Akademician

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kamwe hawatoi. Hata wewe mwenyewe ni lazima uwe na kitambulisho chako au cheti cha Form IV ndipo upewe.
  9. Akademician

    Kampasi ya Adem Mbeya imeanza kutoa mafunzo ya Diploma ya uongozi wa elimu

    TANGAZO TANGAZO KWA WALIMU WANAOHITAJI KUJIENDELEZA. KAMPASI YA ADEM MBEYA IMEANZA KUTOA MAFUNZO YA 1. DIPLOMA YA UONGOZI WA ELIMU (DEMA/DELMA) 2. DIPLOMA YA UTHIBITI UBORA WA SHULE (DSQA) KWA NJIA YA KUSOMA WAKATI WA LIKIZO (BLENDED) KUANZIA OKTOBA 2023. FOMU ZINAPATIKA KWENYE Website yetu ya...
  10. Akademician

    Betri mpya ya Tecno Boom J5

    Ile ya Mlimani City au ya Kariakoo?
  11. Akademician

    Hii betri mpya inapatikana madukani?

    Simu ni TECNO BOOM J5, ina mwaka mmoja tangu inunuliwe na Inaoperate vizuri tu. Ila kwa sasa betri yake imeshaanza kuchoka. Naomba kujuzwa kama betri mpya za Hii simu zinapatikana. NB: Nimeangalia kupitia utaratibu wa TCRA, Hii haimo miongoni mwa zitakazozimwa mwezi Juni. Nisaidieni...
  12. Akademician

    Upatikanaji wa spea (betri) ya Tecno Boom J5

    Simu ina mwaka mmoja tangu inunuliwe na Inaoperate vizuri tu. Ila kwa sasa betri yake imeshaanza kuchoka. Naomba kujuzwa kama betri mpya za Hii simu zinapatikana. NB: Nimeangalia kupitia utaratibu wa TCRA, Hii haimo miongoni mwa zitakazozimwa mwezi Juni. Nisaidieni upatikanaji wa betri.
  13. Akademician

    Betri mpya ya Tecno Boom J5

    Simu ina mwaka mmoja tangu inunuliwe na Inaoperate vizuri tu. Ila kwa sasa betri yake imeshaanza kuchoka. Naomba kujuzwa kama betri mpya za Hii simu zinapatikana. NB: Nimeangalia kupitia utaratibu wa TCRA, Hii haimo miongoni mwa zitakazozimwa mwezi Juni. Nisaidieni upatikanaji wa betri.
  14. Akademician

    Natishia kutengwa kisa mke wa Sumbawanga

    Habarini ndugu wanajukwaa. Kuna rafiki zangu wapatao watatu ambao tumekuwa tukishirikiana kwa mambo mengi na kusaidiana hata kiuchumi na maarifa, Tumekuwa tukiishi kindugu kabisa. Wawili wana wana ndoa zao na watoto, Mmoja ana mchumba tu. Mimi nimekuwa singo kwa muda fulani tangu nifarakane na...
  15. Akademician

    Watangazaji hawa ni aibu kwa radio station

    Nimesikitishwa na kushangazwa sana kuona radio Hii, Tena iliyopo jijini Dar Kuwa na watangazaji wabovu kama hawa. Hadi mgeni Jide kawaona kituko. Jionee hapa
  16. Akademician

    Kwa BAGAMOYO MJINI

    Habarini wakuu. NAHITAJI chumba kimoja cha kupanga Bagamoyo MJINI. Kiwe MAENEO ya KARIBU Na shule ya sekondari ya EAGLES, Kiwe Na umeme Na MAJI yapatikane. Nyumba husika isiwe Na WATU WENGI Na mikusanyiko ya Mara kwa Mara. Na isiwe SEHEMU ya BIASHARA kama duka, mgahawa, grocery, genge n.k in...
  17. Akademician

    Elimu nchi za Ulaya

    LENGO nikapate exposure KIDOGO, nizichange MPAKA kufikia amount GANI ya bongo ndugu?
Back
Top Bottom