TANGAZO TANGAZO KWA WALIMU WANAOHITAJI KUJIENDELEZA.
KAMPASI YA ADEM MBEYA IMEANZA KUTOA MAFUNZO YA 1. DIPLOMA YA UONGOZI WA ELIMU (DEMA/DELMA)
2. DIPLOMA YA UTHIBITI UBORA WA SHULE (DSQA) KWA NJIA YA KUSOMA WAKATI WA LIKIZO (BLENDED) KUANZIA OKTOBA 2023.
FOMU ZINAPATIKA KWENYE Website yetu ya...
Simu ni TECNO BOOM J5,
ina mwaka mmoja tangu inunuliwe na
Inaoperate vizuri tu.
Ila kwa sasa betri yake imeshaanza kuchoka.
Naomba kujuzwa kama betri mpya za Hii simu zinapatikana.
NB: Nimeangalia kupitia utaratibu wa TCRA,
Hii haimo miongoni mwa zitakazozimwa mwezi Juni.
Nisaidieni...
Simu ina mwaka mmoja tangu inunuliwe na
Inaoperate vizuri tu.
Ila kwa sasa betri yake imeshaanza kuchoka.
Naomba kujuzwa kama betri mpya za Hii simu zinapatikana.
NB: Nimeangalia kupitia utaratibu wa TCRA,
Hii haimo miongoni mwa zitakazozimwa mwezi Juni.
Nisaidieni upatikanaji wa betri.
Simu ina mwaka mmoja tangu inunuliwe na
Inaoperate vizuri tu.
Ila kwa sasa betri yake imeshaanza kuchoka.
Naomba kujuzwa kama betri mpya za Hii simu zinapatikana.
NB: Nimeangalia kupitia utaratibu wa TCRA,
Hii haimo miongoni mwa zitakazozimwa mwezi Juni.
Nisaidieni upatikanaji wa betri.
Habarini ndugu wanajukwaa.
Kuna rafiki zangu wapatao watatu ambao tumekuwa tukishirikiana kwa mambo mengi na kusaidiana hata kiuchumi na maarifa,
Tumekuwa tukiishi kindugu kabisa.
Wawili wana wana ndoa zao na watoto,
Mmoja ana mchumba tu.
Mimi nimekuwa singo kwa muda fulani tangu nifarakane na...
Nimesikitishwa na kushangazwa sana kuona radio Hii,
Tena iliyopo jijini Dar Kuwa na watangazaji wabovu kama hawa.
Hadi mgeni Jide kawaona kituko.
Jionee hapa
Habarini wakuu.
NAHITAJI chumba kimoja cha kupanga Bagamoyo MJINI.
Kiwe MAENEO ya KARIBU Na shule ya sekondari ya EAGLES,
Kiwe Na umeme Na MAJI yapatikane.
Nyumba husika isiwe Na WATU WENGI Na mikusanyiko ya Mara kwa Mara.
Na isiwe SEHEMU ya BIASHARA kama duka, mgahawa, grocery, genge n.k in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.