wataalamu naomba mnisadie jinsi ninavyoweza kufanya ip addres yangu isionekane online
nimefanya download na nimepata message inasema ninadownload illegal software na wana
uwezo wa kunipata via my...
Ndugu yangu ana simu ya galaxy note one. Iliisha charge na kuzima, akaicharge ikawa asilimia 60 hivi. Akajaribu kuiwasha ikawa inafika kwenye maneno Samsung galaxy note one kisha inazima. Baadaye...
Wadau habari zenu,
Nina laptop yangu tajwa hapo, ina wondows 8 inaonesha wireless device(intel centrino 2200) ipo turned off nikiangalia kwenye device manager inaonekana ipo n its driver is up to...
This is now official from Whatsapp company, fuata link apo chini install then ingia settings,account then privacy utaona.
Goodluck everyone kwangu imekubali kwenye android jelly bean...au...
ninajisomea tuitorial mbali mbali za ccna ila nahitaji kufanya practise hivyo ndugu mnao weza nisaodia hiyo softwere nitafurahi sana.
nawasilisha wakuu
Kwema wakuu naomba msaada.nilitumia usb cable kutoka kwenye cmu yangu tecno 611 kwenda kwenda kwenye computer fulani kumbe ina virusi vingi ajabu.baada ya muda mafile kwenye phone na memory card...
Habari wana JF, Mara nyingi nimesikia watu wa TCRA wakizungumza umuhimu wa kudhibiti matumizi ya Bandwidth, je kwa kiswahili rahisi tunaweza kusema bandwidth ni kitu gani hasa na kinaweza...
Habari za leo.?
Naomba kujua kuunlock Black berry Torch 9500, ilikuwa inatumika Canada,sasa nataka kutumia kwa line za hapa Tz inaniambia Enter network MEP code. Kwa anayejua msaada please.!
Habari ndugu zangu,
Natoa factory unlock services kwa mobile phones, kupata bei na muda simu yako kuwa unlocked itachukua nimeweka hapo. Kwa walio Dar utanilipa baada ya kuwa nime-unlock simu yako...
What happened to a much budgeted website with lots of promises? www.tanzania.go.tz
It is sad to say that in this modern world where everything is shifted to mobile devices, our own brand new...
Hapa niliponiko hoi maana kazi zangu zimeliwa na mdudu( virus) name nilihifadhi kwa flash. Tafadhari naomba msaada kwa mwenye uwezo wa kunisaidia kwa maana kesho natakiwa kuwasilisha ripoti.
nina maswali mawili (1) picha ya kwanza ni ya tor , nikitumia vidalia napata dns leak how can i get ride of it
2) picha ya pili ni kernel panic , inatokea niki connect na android...
Morning.
Nina modem tatu, Vodacom, Zantel na Airtel na zote nime-install kwenye laptop yangu.
Juzi baada ya kuishiwa bundle kwenye modem ya Vodacom nilichomeka modem ya Zantel kama kawaida kwenye...
Jamani mimi naomba kuuliza ni nani anaekosea ktk hili la kupost taarifa muhimu ktk mitandao hapa kwetu bongo?
Maana unaweza ukawa unataka kumjua au kumfuatilia mtu ili uweze kujifunza kutoka ktk...
jaman kwa wataalamu wa huawei g 510 ninapata tatizo kwenye kudownload file,nime install opera lkn wapi?inadownload ikikaribia na mwisho ina fail,sasa sijui ni nn?naombeni msaada jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.