Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake 1. TPDC 2. TCRA 4. Ngorongoro 3. Ewura 4. WCF 5. TBS 5. TANAPA 5. Tume ya madini 6...
93 Reactions
2K Replies
546K Views
Habari zenu wakuu Kwanza nipende kushukuru aliyebuni uanzishwaji wa hii ajira portal maana imetoa fairness sana kwa walio wengi bila kujali status yako ya kiuchumi Pamoja na hayo yote lakini...
2 Reactions
8 Replies
575 Views
Ndugu zangu wana JAMIIFORUMS hapo mwanzo nilikuwa muhanga wa kutafuta Ajira hapa nchini kwakweli nilihangaika sana. Nilibahatika kupata kazi kwenye kampuni mbali mbali ikiwemo GARDAWORLD baadae...
9 Reactions
98 Replies
7K Views
Naomba mnisaidie kitu wana jamiii forum hiv moja ya malengo yangu ni kujiunga na Jeshi kuna kitu nataka nifahamu, hiv unapoingia jeshini nini huwa wanazingatia nin ili upande cheo
0 Reactions
2 Replies
180 Views
AIBU NILIYOIPATA KWENYE INTERVIEW YANGU YA KWANZA. Anaandika Robert Heriel. Simulizi hii ni ya kweli, nimekumbuka tukio hili nikabaki nacheka Sana, naomba nishiriki pamoja nanyi huenda kuna...
19 Reactions
85 Replies
16K Views
Ndugu zangu awali ya yote ni washukuru Wana jamiiforums wote ambao mliguswa na changamoto yangu iliyo nikuta ambayo ilipelekea kuandika Uzi uliotafsiliwa kama nimekata tamaa😭😭😭 Nahisi siku zangu...
20 Reactions
120 Replies
3K Views
Natafuta kazi yoyote Nina degree ya banking and finance, ninaishi Dar es salaam, ni mwanaume mwenye miaka 33.
1 Reactions
0 Replies
110 Views
Kwann kwenye hichinkipengele cha status kwenye app kiko hakijajazwa wakat kwenye website wamekijaza vizuri kuwa not shortlisted kwa oral.....ilaa hii aptude test bwana et nina 91 afu siko...
0 Reactions
4 Replies
152 Views
Age:18 yrs old, Salary atakayo ni 80k kuendelea. Awezacho ni kulea mtoto, watoto, wazazi wa watoto hao au kuuza duka. Maelezo mengine ni inbox wapendwa
4 Reactions
18 Replies
313 Views
Naomba kuuliza ajira za vyuo vya kati huwa wizara wanatoa mwezi gani kila mwaka.
1 Reactions
11 Replies
729 Views
Habari wapendwa mimi ni kijana wa kike nina umri wa miaka 27 elimu yangu ni kidato cha nne pia nina certificate ya entrepreneurship natafuta kazi yoyote kati ya hizi:- [emoji1314] Stationary...
5 Reactions
46 Replies
4K Views
European Union (EU) Delegation Jobs 2024 Associate Communication, Monitoring and Evaluation Officer Associate Communication, Monitoring and Evaluation Officer at MARKUP II May 2024 TERMS OF...
0 Reactions
0 Replies
44 Views
Tender No: TP/05/2024/NCB/W/015 Repair Of Terminal Roads And Filling Potholes On Gantry Access Road Tanzania International Petroleum Reserves Co Ltd (TIPER) is a bulk storage facility for...
0 Reactions
0 Replies
52 Views
Organisation: DIGNITY Kwanza – Community Solutions (DIGNITY Kwanza) Position: Assistant Legal Officer Reporting Line: Project Coordinator Duty Station: DIGNITY Kwanza Ulyankulu Office, Tabora...
0 Reactions
0 Replies
59 Views
POST DRIVER CLASS II – 1 POST EMPLOYER Mbulu District Council APPLICATION TIMELINE: 2024-05-27 to 2024-06-10 JOB SUMMARY NIL DUTIES AND RESPONSIBILITIES Checking the vehicle before and after...
0 Reactions
0 Replies
57 Views
Job Opportunity – Junior Health Information Systems (Jnr. HIS) Developer Location: Dar es Salaam Application deadline: June 8, 2024 Start date: July 15, 2024...
1 Reactions
0 Replies
68 Views
.
6 Reactions
199 Replies
1K Views
Vijana endeleeni kuomba KAZI, nawaombea Mungu wangu awape kibali wote wenye uhitaji mfanikiwe. Pia soam: Tangazo la ajira kutoka Jeshi la Polisi Tanzania Aprili, 2024
6 Reactions
59 Replies
2K Views
Habari wadau, poleni na majukumu yenu. Samahani naomba mnishauri katika jambo lifuatalo. Mimi ni graduate katika fani fani ya Mazingira. Nimeshasota sana mtaani pasipo kuwa na kibarua au ajira...
3 Reactions
16 Replies
447 Views
Ofisi mpya inahitaji vijana wawili, mmoja kwa ajili ya kusimamia duka la viatu (wakike) na mwingine ni kwa ajili ya mauzo ya insurance. Ofisi ipo kinondoni vijana, Dar es salaam, mwombaji awe...
3 Reactions
2 Replies
244 Views
Back
Top Bottom