Wanajamvi
Maandalizi yanaendelea ktk viwanja vya Ikulu
Niwasihi mvute subira tuwahabarishe na Wanajamvi walioko hapa tukio kubwa katika hatua ya utungaji wa katiba.
Ambapo Tume ya...
Ndugu wanabodi,
Kwanza niwashukuru wote mliochangia hasa baada ya kuangalia upigaji kura bungeni leo. Baadhi nimeweka thread zenu humu kuonyesha jinsi mlivyotafsiri hasa pale kura za HAPANA...
Wadau, amani iwe kwenu. Huku Dodoma hali ni shwari kwa siku ya leo. Nje ya UKUMBI wa bunge hali ya ulinzi imeimarishwa ingawa ni tofauti na jana. Leo wapo askari wachache na ile barabara kuu ya...
Wadau, katika hali ambayo inaashiria kuwa Katiba mpya inapatikana kiulaini, akidi imepatikana ndani ya Ukumbi wa Bunge bila ya kuwahusisha wabunge waliopo ndani ya ukumbi huo na UKAWA waliosusa...
Tusikubali kwenda serikali tatu. Kwa vile tumekatazwa kutaka kuvunja Muungano - japo waliotukataza hawana uwezo huo - na kwamba tunaweza kujadili "muundo" bora wa Muungano.
Ninawasihi watu wa...
Wote tumeshuhudia kundi linalosema linasimamia mawazo ya wananchi UKAWA wametoka nje katika kipindi cha jioni leo na kususia bunge maalumu la katiba.
Je kuna kitu unakikosa au tofauti yoyote...
BONYEZA HAPA KUPATA NAKALA YAKO
KAMA vile imeshindwa kusoma alama za nyakati, serikali imeamua kuchakachua mchakato wa marekebisho ya katiba mpya kwa kuandaa muswada ambao unapinga yote...
Wanabodi,
Kanuni ya Kuu ya Kwanza kwa mwanahabari yoyote ni to tell nothing but the truth. Naomba kuitumia kanuni hii kuwaambia Chadema, they were wrong!, walikosea!. Ukikosoa makosa yoyote, toa...
Samuel Sasali anasema:-
Kulikuwa hakuna haja ya Kutumia Mamilioni ya fedha kwa ajili ya Tume Ya Warioba Kukusanya maoni na Kujifungia wakati Rais anasema yale mambo ya muungano yanaweza...
Tunapenda kuwataarifu wananchi ambao hawataweza kufika CKD kuwa kongamano la katiba kesho litaonyeshwa moja kwa moja na kituo cha televisheni cha ITV. Tunawashukuru sana ITV kwa moyo wa uzalendo...
Askofu Niwemgizi wa jimbo Katoriki jimbo kuu Rulenge amesema ataongoza kampeni ya kura ya hapana kupinga katiba mpya.
Askofu atangaza kufia katiba
• Ni Makamu wa Rais wa Baraza la...
Mbunge wa Viti maalum kupitia CHADEMA Mh.Leticia Nyerere kwa mujibu wa ITV habari usiku huu ameonyeshwa na amesaini kitabu cha Mahudhurio ndani ya Bunge maalum La Katiba ikiwa ni kinyume na...
Fuatilia nami upate kile kinachojiri katika kikao cha 26 cha Bunge Maalum la Katiba.
Mwenyekiti wa BMK anaanza kwa dua ya kuombea bunge ili wapate hekima na busara ya kujadili vizuri...
Wadau, ni matumaini yangu kuwa hamjambo. Nami pia sijambo na nipo tayari kuwaletea kinachojiri Bungeni Dodoma leo
Leo sina mengi zaidi ya kuwaomba muendelee kufuatilia mtandao huu wa JF ili...
Jamaa alia kwenye vyombo vya habari akilia kuwa hakupiga KURA ya ndio katika kura za kuipitisha Katiba ,ni aliepiga kura ya HAPANA ,ni mjumbe wa bunge hilo la KATIBA kutoka ZANZIBAR .
MMOJA wa...
Wakuu kamanda Lissu anafanya press, sasa hivi Makao Makuu ya Chadema na haya ndiyo amezungumza;
- Wadau wa Zanzibar hawajashirikishwa hata kidogo na hawakuwepo kwenye ratiba ya Kamati.
- Kamati...
Dodoma/Dar. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Uratibu na Bunge), William Lukuvi ameanza kampeni kanisani kuwataka wananchi kupinga serikali tatu zilizopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya...
Nilipotea kidogo kuwapa habari za ndani kuhusu yanayoendelea ndani ya Bunge maalum la katiba. Jana kulikuwa na kikao cha kamati ya uongozi kujadili kuhusu kujitoa kwa UKAWA ndani ya bunge hilo...
Wadau, natumaini kwamba hamjambo na mnaendelea vema kulisukuma gurudumu la taifa. Nami namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia afya njema kwa siku ya leo. Kama kawaida yetu tuwaombee kwa Mwenyezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.