Jukwaa la Historia

Waandaaji wa kongamano Kituo cha Tarekhe ya Uislam na Wanavyuoni wa Afrika Mashariki na Maahad Juneyd Islamy Zanzibar waliwaalika wanahistoria kujadili ni lini Uliingia Uislam Pwani ya Afrika...
2 Reactions
0 Replies
913 Views
"CHICKEN ON THE BONNET" (KUKU JUU YA BONETI YA GARI) Hawa kuku wawili nimewaona wamepanda juu ya boneti ya gari nje ya nyumba yangu. Nikawa naomba dua wasiruke hapo kabla sijawapiga picha. Picha...
6 Reactions
6 Replies
715 Views
Baadhi ya hotuba katika maziko ya Shekh Bilal Rehani Waikela Msikiti wa Kichangani:
0 Reactions
2 Replies
611 Views
"BARA MTATESEKA SANA KWA SABABU HAMTAKI KUTUJUA WAZANZIBARI" Ilikuwa wiki ya pili tu baada ya uchaguzi wa Rais Zanzibar baina ya Maalim Seif na Dr. Ali Mohamed Shein. Mwaka ni 2010. Kumbukumbu...
4 Reactions
0 Replies
878 Views
Ndugu zangu baada ya kitabu hiki "The Torch on Kilimanjaro," kuhujumiwa nikajituliza. OUP wakanirudishia kwa masikitiko makubwa mswada wangu mpya niliowapa wakaniambia kuwa inaelekea sipendeki...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Na Ahmed Rajab SIKU hasa siikumbuki. Lakini mwezi na mwaka naukumbuka. Na siku zenyewe kwa jumla ninazikumbuka. Zilikuwa siku za Morogoro Jazz Band na Mbaraka Mwinshehe. Simba Wanyika hawakuwa...
10 Reactions
62 Replies
4K Views
Hivi Gazeti la Mwanahalisi liko wapi? Naye Dr.ulimboka amehamia nchi gani? Hivi mgomo wa walimu lini? Na mafisadi wa EPA watanyongwa lini? Hivi unakumbuka mbunge analipwa posho kiasi gani kwa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
''THE TORCH ON KILIMANJARO'' KITABU CHA SHULE ZA MSINGI KINACHOELEZA HISTORIA YA MWALIMU NYERERE WAKATI WA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA OUP walialika waandishi wa Afrika ya Mashariki kupeleka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
PETER COLMORE, MWENDA JEAN BOSCO NA EDUARDO MASSENGO, KENYA 1959 https://youtu.be/1LH7T6hbKto?si=j8ZNHvlOpbzEOdX4 Majina haya matatu: Peter Colmore, Eduardo Masengo na Mwenda Jean Bosco yana...
0 Reactions
1 Replies
249 Views
Kwa mwanahistoria au muhenga aliyekuwepo au yeyote aliyehudhuria msibani kama labda walisomewa wasifu unaotoa mwanga juu ya hili, naomba kuuliza: Huyu Marehemu aliyeagwa Karimjee na heshima za...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kitabu kizuri sana kwa historia na athali za mabadiliko ya kimfumo.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu mnaopenda kuangalia movie ambazo zinatengenezwa kwa kufata historia au matukio ya kweli basi hii Movie ya Lone Survivor ni moja ya matukio ambayo yaliitingisha Marekani 2005. Huyu ndio...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Wana Jf na wana jukwaa kwa ujumla, katika pitapita zangu za makala za historia ya watu na mambo mbalimbali yaliyopata kutokea duniani, nilikutana na sentensi hiyo ambayo imehusishwa na tabaka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
https://youtu.be/_mA61VdLvG0?si=xvmx8pPwu-q3S9j_
0 Reactions
0 Replies
323 Views
Back
Top Bottom