Heri ya Mwaka Mpya 2016, WanaJF
Tafadhali naomba mnielekeze Fundi Bingwa Wa Gari za Aina ya Nissan Xtrail. Nipo Dar es Salaam
Tafadhali naomba mniwekee hapa Namba zao Tafadhali. Nitawashukuru...
kwenye soko la dunia, bei ya mafuta ya petroli imeshuka kwa zaidi ya 40% kati ya July na December 2015 (fuatilia hapa http://moneyweek.com/prices-news-charts/oil/).
kwa maana hii, bei ya rejareja...
Habari wana Jf,
Naomba msaada namna ya kuagiza gari na kampuni ya be foward nataka kununua Carina Ti Nina 10m sipo Dar es salaam.
Natanguliza shukulani zangu kwenu
Wanabodi,
Kwa kawaida jukwaa hili hutoa msaada. Leo naombeni mnisaidie mtaa au duka rahisi linalouza baiskeli za watoto kati ya umri wa miaka 3 hadi 12.
Natanguliza shukrani.
TRA imesema kuwa mwisho wa usajili wa pikipiki hizo kwa hiari unaelekea ukingoni. Hivyo basi, amewaomba ambao hawajasajili wafanye hivyo mapema ili kuepukana na usumbufu wanaoweza kukumbana nao.
Kampuni ya Yamaha Motors imefichua kwamba inaunda roboti ambayo itaweza kuendesha pikipiki ambazo hutumiwa kwenye mashindano ya pikipiki.
Kampuni hiyo kutoka Japan ilionyesha mfano wa roboti hiyo...
Idadi ya majeruhi wa ajali za pikipiki wanaopelekwa katika taasisi ya mifupa Muhimbili (MOI) imeongezeka hadi kufikia 20 mpaka 26 kwa siku, sawa na asilimia 50 ya majeruhi wote wanaopelekwa...
Get ready for even lower oil prices
August 24 NEW YORK
Futures for a barrel of West Texas Intermediate crude fell below $39 a barrel early Monday -- a level not seen since 2009. Oil closed at...
Wakuu,
Kwenye pita pita zangu, nimebahatika kupata pesa, nikaona sio mbaya na mimi ni ongeze foleni ya magari.
Kimsingi nimeshaanza mawasiliano na watu wa beforward, ila kuna mdau kanitonya...
Habari wanajukwaa
Gari yangu aina ya colora G ina tatizo la kujipandisha Silence na kujishusha, nimejaribu kuwapelekea mafundi zaidi ya watatu lakini bado tatizo linajirudia, tumebadilisha...
Salaam ndugu zangu.
Naomba kuulizia uwezo wa hii gari katika kusafiri masafa ya mbali maana nimevutiwa na ulaji wa mafuta(1.6L ingine size) pia bei yake si mbaya (mfano gari ya mwaka 2000 inauzwa...
Ushauri kuhusu hizi gari ni ipi bora kati ya hizo interms of durability, uimara na fuel consumption nataka nichukue moja kwa ajili ya mizunguko yangu ya hapa mjini na mizunguko yangu ya mikoani..
Hii ndiyo ultimate Machine kudadeki! Hii ngoma sio Mchezo! Wengi wetu tumezoea land cruiser 4*4 sasa hii mashine ni 6*6, yaani matairi yote sita (6) yanafanya kazi na mpaka sasa hivi tangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.