Wakuu, natumai mu wazima.
Kwa muda wa miezi miwili sasa nasumbuliwa na miguu ambapo inawaka moto na joints za vidole vya miguu zinauma balaa, maumivu yanaanzia kwenye angle lakini kuanzia hapo...
Jamani naombeni mnisaidie mguu wangu wa kushoto unawaka moto sana ni kma wiki tatu sasa hili tatixo lipo.nimetumia dawa ya kienyeji lakini tatizo bado linaendelea tu.naombeni msaada watalaam
Kama we ni muathirika wa puli na unataka kuacha mazima kama mimi baada ya kuona madhara yake,tujadili hapa njia mbadala ya kujitoa huku maana hili limekua janga watu wanapiga sana na dushe...
Jamani eeh shoga yangu anataka,awe at least maji ya kunde sabab ni black.sana sasa nikamshaur abaki hivyo hivyo akakataa
Mshaurini atumie mafuta gan ya bei ya kawaida na yasiyo na chemical ili awe...
Wakuu heshima kwenu jamii Dr,
Naomba mnisaidie as per the subject. Baba yangu mzazi ana umri wa miaka 78 anasumbuliwa sana akienda haja ndogo, anaweza akasimama nusu saa mkojo ukatoka kidoogoo...
WAZAZI wengi wanatamani kuwa na watoto wenye afya nzuri kimwili na akili. Ili mtoto aweze kukua vizuri kiafya ana mahitaji mbalimbali kutia ndani lishe na mapumziko ya kutosha.
Mahitaji ya Mtoto...
Innovative medics Dr Francis and his team at Muhimbili National Hospital in Dar es Salaam.
Dar es Salaam. A few months after he was born, Abdul Mfaume suffered severe malnutrition and diarrhoea...
Wakuu natumai mu wazima kwa kudra za muumba. Siku chache zilizopita niliweka Uzi hapa jukwaani, nikiomba msaada wa ushauri ili tatizo langu la miguu kuwaka moto nipate namna ya kulitatua kwani...
Habari wana,
Hivi karibuni kumekuwa na swala linalonitatiza sana, nina manzi wangu ambae anadai anapatwa na maumivu ya kichwa makali mno anahisi kama kichwa kinataka pasuka, anapatawa na...
Kama title inavyosema, nina mpenzi wangu tulishiriki tendo mwezi wa tano mwishoni baada ya siku 3 akaingia period, leo ananiambia hajaingia period amepima pregnancy test imeonesha ana mimba...
Wana jf naomba kujuzwa juu ya hili. mimi huwa nikikaa mahali penye UPEPO, Au BARIDI likinipiga huwa tumbo linajaa gesi na kila kitu tumboni kinavurugika hadi nikienda chooni huwa naharisha. Huu ni...
Wadau poleni na majukumu,
Naombeni msaada, babu yangu anawashwa na mwili mzima mara kwa mara. Ameenda hospital nyingi pasipo mafanikio yoyote.
Je nini inaweza kuwa sababu ya tatizo hili?
Nimesoma kwenye jarida moja kuhusu utoko na hasara/faida zake...
"Utoko unaotoka Mchana unalinda Uke dhidi ya Magonjwa lakini ule wa usiku una "panua" Uke....ndio maana ni muhimu Kujiswafi...
Wanajamvi naomba kuleta tatizo hili kwenu. Mimi nina ugonjwa wa mba tangu muda kama mwaka mmoja. Huwa unaisha kwa dawa za kupaka na kurudi tena baada ya muda.
Pia nina mashilingi sio mapunye haya...
Ni kijana 27 yrs, hilo tatizo limenikumba mwezi na nusu sasa. Kila ninapoamka asubuhi jogoo kalala tu imefika wakati naogopa kukutana na mtu wangu nikiogopa kudhalilika. Msaada tafadhali.
Cc...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.