Baada ya kuwepo kwa sintofahamu nyingi juu ya huyu mtata, n
Nimeamua kuja na hii tour maalumu ya dr. Shika, itakayokuwa ikijulikana Kama "dr. Shika tour".
Katika tour hii watu watapata bahati ya...
Katika ulimwengu huu hasa maisha ya kibongo hali ya kuwaza na kuwazua ni kama haikwepeki vile maana mambo mbalimbali yanakua na muingiliano.
Muingiliano huu kuna muda unakua na athari mpaka mambo...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu..
Ni mda sasa sisikii story na sion selifii za hapa na pale kutoka kwa kaka zangu prondo na don luchese
Je...
Rejea maada tajwa hapo juu mimi nahitaji kujua njia zinazotumika kupata uongozi ukiwa jela wanawaita manyampara.
Kwa wenye uzoefu karibuni hii ni serious.
Siku hizi wasomi kibao tumeamua kuanza kupeana majina yatakayotupa heshima mjini..
Kamanda,Bosi wangu,Afisa,Mkuu,Big yote hayo kukosa ajira.[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji57]
Em gusia na...
baada ya kufatilia nyuzi nyingi na mada nyingi zinazoanzishwa jf na wana jf........
hadi najiulizaga hivi humu jf kuna watoto wa kishua ambao tupo nao humu ndanii wanaotumia hili jukwaaa...
Habari za Leo wana jf
Leo tarehe 12/5 nisiku muhimu sana kwanguu nisiku mama yangu bi Evetha alinileta dunia
Ahsante mungu kwa kunipa afya na nguvu mpk kufika Siku hii ya leo.... Nakuomba unipe...
Jamaa kakubaliana vizuri na msichana kuwa aibuke gheto, kajipanga vizuri kabisa kumkabili yule mrembo… mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli.
jamaa akajikunja akatuma elfu tano maana mwenye...
Leo nimekumbuka vituko vya babu yangu, Babu yangu alikua anapenda sana kujifungia chumbani kwa hiyo muda mwingine unampelekea chakula huko huko ! Siku hiyo nimeenda nampelekea chakula naita babu...
Mke wangu jana katoa mpya.nahisi rafiki yake kamshauli vibaya usiku kajipaka parachichi usoni,halafu kwenye nywele kajipaka vitunguu swaum eti nasikia vinarefusha nywele hapo kitandani kajifunga...
Habarini Warembo wa Jf.
Nipende kuwaalika katika mahafali ya 47 Ya Udsm. Mahafali hayo yatafanyika Mlimani City, tarehe 21 mwezi huu.
Warembo wafuatao ni muhimu kuwepo;
1. Shunie
2. Miss Chagga...
Bandugu,
Nina ka-assignment kidogo cha binafsi kuandika, nahitaji sehemu ya kwenda kufanyia hiyo kazi lakini pia iwe ni kama 'vacation' kwangu.
Sifa zake angalau ziwe:
Malazi yasizidi elfu 50 kwa...
Watu wengi hususan vijana wanapenda kupata mafanikio ya fasta fasta. Si vibaya sana japo inabidi uwe mbunifu sana. Leo nitawapa mbinu itakayofanya upate $5,000 kwa saa 1 bila jasho.
MAHITAJI:
1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.