Wakuu kwa moyo mkunjufu kabisa kutokana na story kwamba huyu mzee hakuwa na ajira na wakati mwingine alilala bila Kula, nipo tayari kumpatia huyu mzee ajira Mara tu atakapo maliza maswala ya kesi...
Ndugu zangu,nikiwa kama mwenyekiti wa Chama cha wanaume mashababi wa Tanzania(Chawamata) napenda kutoa Taarifa rasmi ya chama chetu kuhusu maamuzi ya kikao chetu tulichoketi jana Tar 12/11/2017...
Wakuu Kwahio Budget Hapo Juu Naweza Kununua simu Gani, Kalii.....Nilikuwa na idea na Galaxy S5.....Je Mkiangalia itafaa?.....Kama kuna mtu ana recomendation ya simu Kali kwa hio Bei Naombeni...
Humu tunaitana mkuu bila kujuana jinsia(kama member wamezuia profile zao kwa baadhi ya watu{halafu kwanini watu mnalimit watu wa kuona profile zenu?hata gender tu?}),umri au vyeo.Sasa ikitokea...
Huyu member amekua mchangiaji no 1 kwa Kila uzi humu kampuni jukwaani,hii imemfanya kujulikana ktk Kila uzi..
Kwa muda sijaona comment yake, je kuna yeyote anaefahamu alipo?
Hana...
Toilet Paper zimetengenezwa kwa ajili ya wanawake tu.
Wanaume wa kweli tunatumia;
> Karatasi
> Kalenda
> Gazeti
> Mfuko wa cement mtupu
> Jiwe
> Kipisi cha godoro
> Majani
> Viatu
> Rungu
ONGEZA...
Waungwana msaada kituo cha mafuta kinatafutwa maeneo ya dsm
Kodi million tano kwa mwezi...malipo ya miezi mitatu
Kama ipo nitext what's up +258862695817
Sio siri nimetembelea kwenu jana usiku pale Alfa Cafeteria na nilichokiona sikuamini macho yangu kabisa.
Kijana wa INFORMATICS nikajikuta nipo chumba cha mamba wa mapenzi.
Hakika mmeumbika sana...
Let's say mpo online mnachat na girl wako
Akakuuliza "Unaoa lin mpenzi?"
Nawe ukajibu
"Kwanza ybd nijipange wngu....
nipe mda
Then kuna kjtamblsha
Hlf kuna posa
Na ndoa itafuata wngu
Just...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyojieeleza hapo juu
Hapa najua kuna mafundi wa mtongozo kwa sana
Naomba watu ambao ni watalamu wa kuwavua chup wadada ambao...
Binafsi nakerwa sana na huu mtindo wa awa walinzi wetu wa barabara wanavyobuni vimakosa visiyoeleweka kila kukicha ili mradi tu ipatikane sababu ya kudaka mtu.
Majuzi nimevuka zangu kwne zebra...
Sitaki tena namba ya mtu ambae hajui kusoma wala kuandika meseji ktk simu yangu na nimewaambia kabisa bila kumung'unya maneno na wala kupepesa macho, khaa!!, na kwa Uso wa Mbuzi, nikawaambia...
Utetezi wa Dr. Louis....
Mimi ni kweli nilipanga kununua nyumba zote tatu, na kwenye mnada nilitamka fedha 700, 800 na mwisho 900...
Hakuna popote niliposema milion 900
Nimewaacha police...
Nikiwasha Itv Na Nikamsikia Farhia Midley Akitangaza Napata Faraja.Natamani Aendelee Kutangaza Na Kutangaza Tu.Kinachonivutia Ni Ile Sauti Yake Na Usomaji Wake.Sijamtamani Nieleweke!! Nasema...
Wakuu kichwa cha habari hapo juu kinajieleza...
Nimeamua kuchukua uamzi huu wa kumtafta mganga wa kienyeji baada ya kufanya kila njia ili nijikwamue katika hii ya umasikin imeshindikana
Na kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.