Ni baada ya kushindwa kulipa Tsh. 1,470,800. Aamua kurejea Mtwara. Kaburi lililochimbwa kwa ajili ya kumhifadhi marehemu lafukiwa.
Pia soma > Naibu Waziri wa Afya Dkt Ndugulile: Ni marufuku...
Nadhani kwa sasa hawa wafanyakazi wa hilli shirika wamepiku askari wa babarani kwa kuonea watu na kula rushwa. Mtu akiwa nafuatilia haki yake atazungushwa sana ili mradi tu atoe rushwa.
Kuna mama...
Pamoja na janga, Lodges/Guest Houses 🏠 zinafurika Sana. Imagine jana nimezunguka gesti zaidi ya 9 Sinza kisha Tiptop zipo full.
Stress release mechanism?
Dodoma ni mji mkuu wa Tanzania, na sasa ndio makao makuu ya serikali, hivyo ofisi nyingi zimehamishiwa mjini humo.
Kuna mkutano mkubwa wa CCM unaondelea mkoani hapo, mfanyabiashara karibu u...
Today, while moving through Nairobi, I met Ms. Pendo Masonga, a 20 year old Tanzanian National who has what appears to be a malignant a growth on her mouth
On interacting with her further I...
MFANYABIASHARA aliyetajwa na Rais John Magufuli kuiibia serikali Sh milioni saba kwa kila dakika, Mohamed Yusufali na wenzake watatu wamesomewa mashitaka 506 ikiwemo kukwepa kodi na kuisababishia...
Watu wengi walioko kwenye ndoa wameshawahi kufanya uzinifu. Je, kama ulishazini ulijisikia furaha au kawaida tu? Je, ulisononeka kumsaliti mkeo au mmeo?
Je, ulishawahi kumuomba msamaha mkeo/ mmeo...
Ilikuwa ni miaka ya 2005 ningali darasa la tano huko iringa vijijini (sitataja jina la kijiji)! Kutokana na hali ngumu ya maisha babu yangu alikua akijshughulsha na kilimo pamoja na kuuza nyanya...
David Concar ameteuliwa kuwa balozi wa Uingereza nchini Tanzania ambaye ataanza majukumu hayo Mwezi Agosti 2020.
David Concar anachukua nafasi ya aliyekuwa balozi wa Uingereza nchini Sarah Cooke...
Katika kijiji kimoja kusini mwa mkoa waSedhiou nchini Senegal, binti mmoja aitwayeFanta mwenye umri wa miaka 23 analiambiaShirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch kuhusu uhusiano wake wa...
Ni kama utani vile lakini ndio hali halisi.
Mtandao wa kupata leseni za Udereva kwa wiki mbili na zaidi haupo hovyo hata kulipia huwezi kabisa, Mbaya zaidi hawajatangazia Umma hiki kitu.
Iweje...
Wakuu, Mamlaka ya NIDA imeorodhesha namba hizi kwaajili ya mawasiliano kwa sisi wateja wao wenye changamoto mbali mbali kutokana URASIMU wao;
0752 000058, 0677 146667, 0777 740008, na 0735...
Yaani kuna baadhi ya watu wanaona ni haki yao kupata kila kitu kwa wakati. Ukimcheleweshea ni matusi na kejeli.
Mfano hapo juzi juzi tu nililetewa Mchele kama kilo 30 kutoka kwa familia yangu...
Pamoja na kutangaziwa kupungua kwa maambukizi ya Corona. Hali ya kujikinga na kuchukua tahadhari haipo tena maeneo mengi Dar.
Mabasi ya daladala yamekuwa yakijaza abiria bika kuzingatia maagizo...
Kuna migahawa ya wa mama watu wazima kabisa namaanisha ni migahawa ya siku nyingi na pamoja na changamoto zozote yenyewe huendelea kuwepo tu tena katika mazingira yaleyale ya ki muonekano wa...
Hapa nilipopanga asilimia kubwa tupo vijana wa kiume na wote tuko na mishe zetu, mkubwa ni jamaa mmoja hivi ambae ni Mhandisi kwenye taasisi flani. Huyu jamaa ameoa, sijui yeye na mke wake...
Salaam zangu na wosia wangu uwafikie maaaskari Afrika ya Mashariki, ni salaam kutoka kwa Human Rights Defendant and Security Advisor Mr. Don Nalimison.
Leo nataka tujifunze maana ya Askari na...
Uwepo wa uhai ndio zalisho la maisha.. lakini kutafaa nini kuwepo kwa uhai bila shauku? Shauku ikilala hata mtazamo wa maisha hulala pia!
Ni ngumu sana kumpigisha hatua mtu asiekuwa na shauku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.