Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Twende kwenye mada moja kwa moja. Tanzania iko kwenye ujenzi wa mradi mkubwa wa reli ya kisasa maarufu kama SGR au mwendokasi. Hii reli imekatiza maeneo mengi kwa kuweka daraja za juu au chini na...
9 Reactions
13 Replies
1K Views
Mataifa wanachama wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana juu ya kile yanachokiita “orodha salama” kwa mataifa 14 ambayo yataruhusiwa kwa safari zisizo muhimu kuanzia Julai, huku Marekani ikiwa haimo...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Hapa nawaza hapo ni mpaka Kituo cha ITV kimeriport. Je, vijijini mbali huko wana hali gani? Na kijijini kuna Mwenyekiti, Mtedaji, Mkuu wa Wilaya Walikuwa hawaoni, na huyo mtumishi waliempeleka...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Watu wamekuja kulipia kodi za majengo. Muda tu mtandao umeelemewa Wateja wame stuck naona hii ngoma kurudi mpaka Jioni. Uzi tayari Ova
1 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Redirect
Pamoja na Rwanda kurekodi visa zaidi ya 1000 ukilinganisha na visa 409 Tanzania, Rwanda yaruhusiwa kupokea watalii kutoka Ulaya. Mataifa wanachama wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana juu ya kile...
0 Reactions
Replies
Views
Jeshi la Polisi mkoani Geita limewakamata watuhumiwa 54 kwa makosa mbalimbali, yakiwamo kukutwa na noti bandia za dola za kimarekani. Aidha, watuhumiwa hao wanadaiwa kukutwa na pombe haramu aina...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
SERIKALI itaachana na matumizi ya nguzo za umeme zitokanazo na miti na badala yake itatumia nguzo za zege ili kuepukana na uharibifu wa nguzo kuoza na kusababisha tatizo la ukatikaji wa umeme...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Maana sasa ajira hamna (statistically ajira zipo chache mno), wanaenda kusomea nini cha ziada? mm naona elimu ya form 4 inatosha kabisa kuishi kitaa, mtu akishajua hesabu ya kujumlisha, kutoa...
19 Reactions
72 Replies
6K Views
Tanzania kuna watu wanajua kubuni vitu hewa na kupiga pesa nakumbuka kuna mtu mmoja alikuja na dawa yake inaitwa Ngetwa .Kila kona ya wimbo ulikuwa ngetwa ngetwa maajenti walikuwa kila kona...
7 Reactions
51 Replies
10K Views
Kwa muda mrefu nimekua mteja mtiifu wa bidhaa zenu. Ila miezi ya karibuni kuanzia mwaka jana mmekua mnafanya mambo ambayo sisi wateja watiifu HATUWAELEWI. Mlianza na kulazimisha kila mtu kunywa...
11 Reactions
54 Replies
4K Views
Hi, Kuna swali hili huwa najiuliza kuhusu ushirikina. Kwanini mambo mengi ya kishiriki na hufanyika njia panda. Unaambiwa labda kachote mchanga njia panda, au kwavunje nazi njia panda. Kama ishu...
1 Reactions
24 Replies
6K Views
  • Redirect
Sheria ya umiliki wa laini moja ya simu kwa kila mtandao imeanza kutumika leo Julai Mosi 2020 ambapo ndio siku ya kwanza ya mwaka wa fedha wa serikali. Hata hivyo, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania...
1 Reactions
Replies
Views
Tanzania inabadilika sana kisiasa, kwa sasa ofisi za mitaa zote watawala ni Chama cha Mapinduzi Ukitaka kuona umuhimu wa wapinzani tembelea wanakotawala hawa CCM, yaani ofisi zimekuwa adimu sana...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna jambo lakusikitisha sana mpaka sasa.Tangia Corona ianze posta wamezui kutoa na kusambaza mizigo kwenda mikoani sababu ya korona Watu wengi mnatuasili sana sana Tunaomba posta makao Makuu...
1 Reactions
9 Replies
984 Views
  • Redirect
Umoja wa ulaya umeazimia kupitisha azimio ambalo pamoja na wote wasumbukao na Corona wakiwamo USA, Brazil n.k, hadi pale hali itapobadilika vinginevyo, ni marufuku kutia mguu EU. Kwa mtaji huu...
2 Reactions
Replies
Views
JE WAJUA? Seneta Ernie Chambers, Seneta wa Nebraska Marekani mwaka 2008 alimshitaki Mungu mahakamani. Seneta Chambers aliiomba mahakama itoe "ZUIO" la kudumu dhidi ya Mungu kufanya shughuli zake...
5 Reactions
31 Replies
9K Views
  • Redirect
Siku hizi Radi hazipigi sababu zinaogopa Taa za barabarani. Kila kona kuna Taa za barabarani siku hizi hadi kule sumbawanga. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...
0 Reactions
Replies
Views
Nianze kwa kusema wazi! Inchi yetu ipo kwenye mfumo wa "SOKO HURIA" Inakuwaje kila Mara bidhaa inapoadimika Serikali inakimbilia kukamata Mali za wafanya biashara kwa (kupoka) kisa mtaani...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom