Ushawahi kuangalia series au movie halafu ukajiuliza kwann sio popular miongoni mwa zile popular tv shows? In my opinion hizi ni miongon mwa most under rated tv shows & movie , let me know your...
Ni miaka 11 Sasa tokea kifo Cha star mkubwa wa maigizo,the great Steven kanumba kutokea,kanumba alikuwa na content yake special iliyokuwa inambeba,sijaona wakuziba pengo lake,bongo movies ya Sasa...
Mwimbaji nyota wa FM Academia, Malu Stonch amefariki dunia baada ya kuanguka ghafla jukwaani.
Hali hiyo imetokea katika ukumbi wa Target Mbezi, Beach, Jumamosi usiku wakati mwimbaji huyo akiwa...
Habari zenu wanajukwaa?
Hii ni kwa wale wapenzi wanaopenda kusikiliza beats mbalimbali za ngoma kali..
Beats nyingi ambazo zipo mtandaoni ni za ngoma za nje ya Tanzania tu, Za TZ ni chache sana...
Katika kusoma soma riwaya za kisasa zaidi za karne hii nimetambua kuna waandishi wazuri na wenye hadithi tamu wanafanana namna ya kuandika simulizi zao, maudhui yote kwa ujumla.
Kuna George Iron...
CHANGE
Story by Elton Tonny
Urafiki, Familia, Mapenzi, Mahaba, Tamaa, Hila, Usaliti, Unyanyasaji, Ukatili, Mauaji, Mambo yasiyotazamiwa, Mambo yenye kuhofisha
R-rated 18+
DISCLAIMER: Hadithi...
Kisa cha kusisimua, ni kisa kitamu chenye mafundisho na kuburudisha pia.
Nimesoma visa na stori kibao humu ziwe ni dhahania au za kweli lakini zimenipa nguvu na faraja kuwa kwenye record...
Movie ya barbie imeingia miongoni mwa movie 53 duniani zilizofikisha mauzo ya 1Billion $. na hii na ndani ya week tatu tuu tangu kuachiwa kwake.
Hii imemfanya director wa movie hii kutengeneza...
Rapa Na Mfanyabiashara kutoka Marekani Sean “Diddy” Anadaiwa kuwa hatopokea Mualiko Wa kuhudhuria katika Onesho Kubwa La Mavazi Na Mitindo linalofahamika Kama "Met Gala"
Taarifa hizi ni baada ya...
Kutokana na mlipuko na kusambaa kwa homa kali ya mapafu – Corona (COVID -19) ni muda sasa wa kupunguza rapsha za hapa na pale tujitulize nyumbani muda wote ama muda mwingi zaidi. Ni kweli ni...
Frank Sinatra, John William Coltrane, Miles Dewey Davis au Dean Martin, wengine wanaweza kusema kuwa kuna mwamba Nat King Cole, au wakati mwingine Bing Crosby ila binafsi acha nimtaje Mzee wa kazi...
Katika pitapita zangU...leo kuna ofisi flani hivi nilienda kupata huduma!!!....
Kuna muda niliwasikia wafanya kazi wa ile ofisi . Katika mazungumzo yao ya hapa na pale....wakiitaja sana na...
Q CHIEF NI CHORUS KILLER WA TAIFA.
kupiga debe kwangu ilikuwa poa,
Fani katika maisha ikaja kuniokoa
Kwa radhi ya wazazi kijijini nikaoa
Mke nilimshusha hadhi kuwa na machangudoa
Mzimuni Family...
'Rapa' kutoka nchini Marekani KanyeWest amefunguliwa mashitaka na aliyekuwa mfanyakazi wake wa zamani katika shule yake ya 'Donda Academy' iliyopo Los Angeles, kwa ubaguzi na unyanyasaji...
Inakuwaje wanaJamiiForums
Najua wanaJamiiForums mpo wakali wa movies humu, Mimi bwana Fene napendelea sana movies zilizo serious lakini zinakuacha ukiwa ni mwenye kucheka mwanzo mwisho...
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane.
Miaka ya fulani baada ya kumaliza shule ya sekondari,niliamua kwenda kumsalimia Ba'mdogo aliyekuwa mkuu wa shule fulani ya sekondari hapo kwenye hicho...
Kama wewe ni mpenzi wa simulizi kali sana za kijasusi na kipelelezi, kama unapenda simulizi zinazohusu michezo ya siasa na namna watu wanavyo iishi siasa kikatili.
Kama wewe ni mpenzi wa simulizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.