Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane!.
Kwanza kabisa nipende kuwashukuru wote ambao mmeendelea kuwa na mimi bega kwa bega tangia mwanzo wakati naanza kusimulia visa vya maisha yangu ambayo...
Toka Bongo mpaka Uk na kisha narudi Tena/ Nairobi na kampala nawakilisha kwa sana/ maneno bado ni Yes naona kama hakuna no!/ Sasa match ni International/ Sugu ni chama kubwa kama Arsenal/...
Huku kwenye Hip Hop kuna madini, japo si kutoka kwa hawa mumble rapper akina "Gucci Gang x90" 😂😂
Ukiachana na rap katuni na nyimbo matambo mbele ndani uchuro tushee Lyrics nzito na zenye ujumbe...
Series nilizocheki ni nyingi sana ni za kimarekani, kikorea na kilatini.
Yani hapa kupata series mpya imekuwa shughuli nzito sana
Napenda series za uhalifu, misukosuko ya kutoboa zero to hero,
Aloha kakahiaka.... 👋👋
Kama wewe ni mpenzi wa kutazama mieleka kwa muda mrefu na unawafahamu baadhi ya wacheza mieleka utagundua kwamba michoro/tattoo zilizopo kwenye mikono na mabega ya The Rock...
Nimekaa natafakari wasanii na muziki wetu huu wa Bongofleva ya sasa na ule wa zamani (old school).
Kiukweli nimegundua kuwa wasanii wa sikuhizi sio wabunifu ingawa utandawazi na teknolojia...
(image via itl.cat)
MUUAJI MWENYE KOFIA NYEKUNDU
SEHEMU 001
Yalikuwa ni majira ya usiku wa saa sita kamili, John Otieno alikuwa akikatiza kwenye mtaa uliotulia maeneo ya Iwambi jijini Mbeya...
Wale wapenzi wa Anime tukutane hapa
Naombeni mnitajie Anime kali hasa za wajapan ikiwezekana mnisaidie na download link zake
Anime ambazo nimeangalia
1-HunterxHunter
2-Naruto(bado naendelea)
Gere unanionea mie nakunifanya hasidi, kwakuwa unatambu kazi yangu jukwaani, hata hivyo nyuma, sitarejea, wajifanya wajua, jua linakuwakia.
Naomba mwenye link ya huu wimbo ama anae mfahamu msanii...
Jirani Yangu wa kule Goba Hakuwa Mtu wa Kawaida.
Sasa ni miaka miwili imepita, nimehamia na ninaishi kwengine, lakini yale ya kule Goba nayakumbuka vema kana kwamba yametokea jana yake, na huenda...
Kenya, Uganda na Tanzania.
Tumekopi sana na tunaendelea kopi, hatuwi sisi.
It's high time that we have a tune , sound, beat, Melody, lyric of our own.
Kwanini kukopy..
Embu sikieni wimbo...
Tamthilia ya MICHAKATO inaonyeshwa CLOUDS TV kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa Saa 2.00 Usiku na kurudiwa kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa Saa 5.00 Asubuhi.
Tamthilia hii ya MICHAKATO ni...
Tangu enzi za Mbowe Hotel na baadae Billicanas ile Club iliwafanya Wakuja wapate Ustaarabu wa mjini
Na uzuri wa Bills hata bavicha na UVCCM waliunganishwa na Ustaarabu wa mjini na kwahiyo Itikadi...
Sasa Unaweza kufuatilia Msimu wote wa Kwanza wa Tamthilia Pendwa ya "SIRI ZA FAMILIA" katika Channel ya "JASONS TV" YOUTUBE. Kwa Kuanzia angalia hizi Episodes chache:
Habari wakuu, naomba mnisamehe kwa kuwa kimya sana, majukumu ya hapa na pale. Kama kawaida naomba kuleta uzi kuhusu jamii zetu. Leo nimeona ni vyema nikazungumzia tasnia yetu ya filamu hapa...
https://youtu.be/txVBHF_kjhk?si=whyhDUs-5SsR0fj-
Hilo dude lilisukwa buana, sikiliza beat ya Dunga, Sikiliza chorus ya mwanadada Mercy Myra, halafu unganisha na flow nzuri kwenye beat kutoka kwa...
Habarini za kutwa wanajamvi ,bila shaka wote mko bìèn!.
Kwanza kabisa nianze kwa kusema ninayo mikasa miwili ambayo nimewahi kuishuhudia kwa macho yangu na kuifanya kwa mikono yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.