Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,285
- 8,738
Kwema wanajamvi jukwaa la wenye kuumiza vichwa?
Basi powa twende sasa,
Huko Paiba Brazil kuna Mwamba au Jiwe kubwa lenye 250 feet in Length,
Hilo limwamba ligumu lina michoro ya kushangaza sana,
Michoro hiyo inayokadiriwa kua na umri wa miaka 6,0000 kwa makadirio ya kawaida inaacha utata mkuu mno kwa namna ilivyo na ukilinganisha na historia ya Humanoid katika Dunia hii yaani kama babu zetu walikuwepo basi walikua primitive au Nyani kabisa huku misitu ya kongo (joking)
Ila katika hali ya kushangaza michoro ya Inga stone imechorwa kwa ustadi na technology ambayo hata leo na ujanja wetu hatujaufikia bado!
Inga stone limechorwa alama mbali mbali kama wanyama wa ajabu ambao katika kizazi hiki hawaexist,vile vile kuna mimea na viumbe wa ajabu ajabu,
Kubwa kuliko yote ni michoro yenye kuhitaji sayansi kubwa kuitambua yaani mifumo nyota katika Ulimwengu huu namaanisha
Constallations kama Milkiway na Orion
Hapa ndipo penye utata!
Nani miaka zaidi 6,0000 iliyopita alijua mambo hayo?
Je ni Humanoid sisi au kuna viumbe wengine nje yetu yaani Alliens walifanya ujuzi huo wa ajabu?
Mbali na hayo maumbo mbali mbali ya Geometry pia Zoomorphic figure na celestial bodies za kushangaza sana,
Jiwe hili ni Moja ya mamia ya site zenye utata mkubwa hapa Duniani kama Mapyramids,Matemple ya miamba,mapango na Underground tunnel zinazounganisha Dunia katika hali ya kushangaza
Just imagine temple kama Kailasa lililopo huko India ni tech gani iliyotumika kuichonga katika Mwamba mgumu namna ya kushangaza vile?
Nani alijenga Spaceships grounds huko Baalbek?
Yaani miaka 6,0000 huko nyuma watu walienda space?
Wamaya na Aztec wanaacha utata hasa wanapomtaja mungu wao Quetzalcoatl aliyekua na flying machine, au Wamisri na wahindi wakisema miungu yao ilikuja kutoka juu bado ni utata!
Dunia ya kale ilipata kupitia kipindi chenye maendeleo ya kushangaza kiasi kwamba bado ni fumbo na kiza kwa watu wa leo,
Hakuna chanzo maalumu cha kutoa miongozo kwa namna gani Science na teknolojia ya kale ilifika mbali mara elfu kuliko leo kiasi kwamba inaacha utata mkubwa,
Wengi wetu tunahusisha masuala Haya na viumbe ambao ni Extraterrestrial waliodaiwa kuwepo kwenye Dunia yetu miaka Mingi nyuma kabla yetu maana kiuhalisia historia ya Mwanadamu bado changa ila mambo yaliyofanyika yanaonesha ni makongwe kuliko hesabu za uwepo wetu hapa Duniani,
Je kuna baadhi ya secret Society zinajua ukweli huu na sinaficha siri kwa ajenda zao maana hata baadhi ya taasisi kama UNESCO zenye majukumu ya kutunza mambo kale hua na majibu mepesi kwa maswali magumu juu ya baadhi ya sites wanazotunza na ukweli wa historia ya kweli uliofichwa,
Inga stone inawaumbua kwa kutotambua ustaraabu unaohusishwa na viumbe wageni kuwahi wepo hapa Duniani kwa mamilioni ya miaka iliyopita!
Bado najifunza!
Mshana Jr Artificial intelligence Maghayo Da Vinci XV zitto junior LIKUD JamiiForums
Basi powa twende sasa,
Huko Paiba Brazil kuna Mwamba au Jiwe kubwa lenye 250 feet in Length,
Hilo limwamba ligumu lina michoro ya kushangaza sana,
Michoro hiyo inayokadiriwa kua na umri wa miaka 6,0000 kwa makadirio ya kawaida inaacha utata mkuu mno kwa namna ilivyo na ukilinganisha na historia ya Humanoid katika Dunia hii yaani kama babu zetu walikuwepo basi walikua primitive au Nyani kabisa huku misitu ya kongo (joking)
Ila katika hali ya kushangaza michoro ya Inga stone imechorwa kwa ustadi na technology ambayo hata leo na ujanja wetu hatujaufikia bado!
Inga stone limechorwa alama mbali mbali kama wanyama wa ajabu ambao katika kizazi hiki hawaexist,vile vile kuna mimea na viumbe wa ajabu ajabu,
Kubwa kuliko yote ni michoro yenye kuhitaji sayansi kubwa kuitambua yaani mifumo nyota katika Ulimwengu huu namaanisha
Constallations kama Milkiway na Orion
Hapa ndipo penye utata!
Nani miaka zaidi 6,0000 iliyopita alijua mambo hayo?
Je ni Humanoid sisi au kuna viumbe wengine nje yetu yaani Alliens walifanya ujuzi huo wa ajabu?
Mbali na hayo maumbo mbali mbali ya Geometry pia Zoomorphic figure na celestial bodies za kushangaza sana,
Jiwe hili ni Moja ya mamia ya site zenye utata mkubwa hapa Duniani kama Mapyramids,Matemple ya miamba,mapango na Underground tunnel zinazounganisha Dunia katika hali ya kushangaza
Just imagine temple kama Kailasa lililopo huko India ni tech gani iliyotumika kuichonga katika Mwamba mgumu namna ya kushangaza vile?
Nani alijenga Spaceships grounds huko Baalbek?
Yaani miaka 6,0000 huko nyuma watu walienda space?
Wamaya na Aztec wanaacha utata hasa wanapomtaja mungu wao Quetzalcoatl aliyekua na flying machine, au Wamisri na wahindi wakisema miungu yao ilikuja kutoka juu bado ni utata!
Dunia ya kale ilipata kupitia kipindi chenye maendeleo ya kushangaza kiasi kwamba bado ni fumbo na kiza kwa watu wa leo,
Hakuna chanzo maalumu cha kutoa miongozo kwa namna gani Science na teknolojia ya kale ilifika mbali mara elfu kuliko leo kiasi kwamba inaacha utata mkubwa,
Wengi wetu tunahusisha masuala Haya na viumbe ambao ni Extraterrestrial waliodaiwa kuwepo kwenye Dunia yetu miaka Mingi nyuma kabla yetu maana kiuhalisia historia ya Mwanadamu bado changa ila mambo yaliyofanyika yanaonesha ni makongwe kuliko hesabu za uwepo wetu hapa Duniani,
Je kuna baadhi ya secret Society zinajua ukweli huu na sinaficha siri kwa ajenda zao maana hata baadhi ya taasisi kama UNESCO zenye majukumu ya kutunza mambo kale hua na majibu mepesi kwa maswali magumu juu ya baadhi ya sites wanazotunza na ukweli wa historia ya kweli uliofichwa,
Inga stone inawaumbua kwa kutotambua ustaraabu unaohusishwa na viumbe wageni kuwahi wepo hapa Duniani kwa mamilioni ya miaka iliyopita!
Bado najifunza!
Mshana Jr Artificial intelligence Maghayo Da Vinci XV zitto junior LIKUD JamiiForums