Zitto kufunguliwa mashtaka endapo...

Huyu jamaa anaitwa Zitto ni mtu ambaye nilikuwa na mkubali sana kutoka na siasa zake, ila baada ya kugundua kuwa huyu jamaa ni Mnafiki na Mchumia tumbo Ahaaaaa! nimeingiwa nyongo na huyu kiasi kwamba sura yake huwa naiyona kama jinamizi vile. Hafai kabisa. Mwanzoni niliona km wanamuonea kumbeeee
 
Hawana lolote hao akina soud umaarufu wanaoutaka Mzanzibari gani asiekua na Imani na Nchi yake
Anasaka tonge na umaarufu tuu huyo Soud na mwenzake
 
Viongozi wengi wa Zanzibar huwa wana uelewa mdogo sn ktk mambo mhimu.

Hata Dr. Shein CCM bara isingeingilia tiyar Maalim alikuwa kashamgalagaza chaliii!!

Sijui Nyerere alihujumu Syllabus yao toka Primary to Univ.?
 

Toa maelezo juu ya unafiki wake....weka na viambata
 
Kwa hiyo Shein anatetewa na wapinzani wake????

Ni ajabu kwa wazanzibari kuamini kuwa waliotoa tamko hili wanaongoza chama cha upinzani. Wanatofauti gani na CCM?
 

Hawakusoma kifungu cha chini yake kinasema nini katiba ibara hiyo. Kinasema "miaka mitano kuanzia siku ya kula kiapo". Ina maana rais atakuwa madarakani mpaka atakapoapishwa "ndani ya huo muda wa miaka mitano" na si nje yake maana ikiwa nje then hicho kifungu hakina maana kwa sababu rais anayamaliza muda wake anaweza pia kukaa bila kwa muda zaidi ya huo bila kuapishwa. Kilichotakiwa ni kuona utaratibu wa au kubadili hicho kifungu cha katiba ili aendelee kukaa nje ya muda wa miaka 5 au ufanyike utaratibu mwingine wa mpito. Hivi ndivyo nionavyo mimi.
 
Na wasi wasi wengi tunachangia kwa utashi na matamanio ya nafsi zetu pasi na kujua kwa uhakika kile unachosema.
Wengi wana shout khs Mr.Zitto bila hujjah zenye mashiko na wengi wanatumika kalima "MNAFIKI"
Labda twambieni

1) unafiki ni nini na ni nani mnafiki?

2) unafiki wa Zitto uko wapi?

3) Leteni ushahidi yakinifu unao mtia Zitto ktk unafiki huku ukichunga asitoke ktk maana ulizo zitaja hapo juu za Nifaaq (unafiki).

KUNA WATU WANAONGEA ILI WAONEKANE NAO WAMEONGEA NA UTAKAPO WAULIZA KWA NINI UNAONGEA HIVI HUKOSA JAWABU NA BADALA YAKE HUTUKANA.

MTU MWENYE BUSARA HASEMI KILA ANACHO KIONA NA ENDAPO ATASEMA BASI HUSEMA LILILO LA HAKI NA KWELI EVEN THOUGH YULE ANAYE MSEMEA NI ADUI WAKE NA HAPASWI KUONYESHA UADUI WAKATI HUO.

HII NI SIFA YA MTU MWENYE BUSARA NA MUADILIFU WAKUU.
 
Hai wapinzani wanafiki tuuu

Ndo wale tunaita vibaraka
 

CDM wote wamekula yamini ya kumuita zitto mnafiki.....no reason for justification.

Mwingine waliyekula yamini kumuita hivyo ni Dr. Slaa
 
Kwamujibu wakatiba ya zanzibar ibara ya 28 ibara ndogo ya pili raisi ataacha madaraka yake mbaada ya kumaliza miaka mitano tangu....... ukishuka kifungu cha pili kinasema pale alipokula kiapo cha uaminifu na kiaPo cha kuwa raisi.
ibara ndogo ya tatu inasema itakuwa marufuku kwa raisi kuvuka kipindi kimoja cha miaka mitano kila kimoja.
Nendeni mahakamani enyi vibaraka wa haini mkapigwe nyundo. Mnakuwa viongozi wa chama hamjui hata katiba yenu
 
Ccm inafanya uhaini pale inapo ing'ang'ania Zanzibar ni uhaini kuwa raisi kinyume cha taratibu
 
hahahahahaha we mgeni wa siasa za bongo nn! hapo kuna wale wabaya wake wanatamani achafuke hivyohivyo, si unakumbuka ile vitA yao haijaisha.
 
Zitto ni mnafiki tu. Kama anamaanisha anachokisema basi angetoka nje Dr. Sheni alipoingia bungeni. Kubaki kwake kulimaanisha anamuunga mkono na anakubali kinachoendelea ZNZ.
Acha wivu wa kike, kila mtu anatumia njia yake ktk kufikisha ujumbe wake, zitto hakusimama shein alipoingia kuonesha hamtambui, au ulitaka amtii mfalme mbowe ndo uone sio mnafiki, hovyo kweli wewe
 
Haaahahahaaa.....

Jibu lako hili hapa chini.



Ukishangaa ya yamoto kuwa band pasipo kuwa hata na gitaa utayona ya diamond kushinda tunzo America pasipo kuwa hata na single wanayoijua.
 
Chadema mps are feelng ov only one kamanda in the war field duuu propaganda zmeanza mapema tarehe za bunge kuanza bado jaman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…