Utakuwa shahidi wa 25 kama siyo miongoni mwa 24Serikali siyo wajinga kumfungulia Mbowe kesi ya ugaidi. Mbowe mwenyewe anajuwa namna alivyolikoroga.
Muulizeni kati ya Desemba 2020 na March 2021 mpaka tunamzika DIKTETA Magufuli alikuwa wapi? Muulizeni ni kitu gani aliomba kwenye ubalozi wa Denmark na alijibiwa nini?
Nendeni na ubalozi wa Canada mkaone status ya papers zake kwa alichokiomba. Mmasingizia alikuwa kwenye biashara zake Dubai, ana biashara gani Dubai?
Kwa nini Serikali ihangaike kumtengeneza Mbowe mashtaka ya kubumba? Ni nguvu gani aliyonayo?
Mbowe alitaka kuweka nchi kwenye status of instability immediately baada ya uchaguzi kukamilika. Serikali ilipogundua njama ndipo akalazimika kukimbia.
Nani kasikia masekondari ya shule za Kisslami yanachomwa tena baada ya Mbowe kuwa mikono salama pale Ukonga?
Na kwa kiasi kikubwa amshukuru Samia ambaye ameacha Mahakama itende haki kwani ingekuwa hajawahi kukimbia nchi wakati wa Mwendazake, saa hizi Mbowe angekuwa na msaidizi wake Ben Saanane huko kuzimu.
Nashangaa Wana CDM mnamtukana Rais SSH eti DIKTETA mwanamke wakati ameacha uhuru wa habari na utawala wa sheria uendelee.
Thank you very much. Wakoloni mawazo yao yako hivyo ktk kumanipulate watawaliwa. Hawapendi tujihusishe na maswala ya nchi.Ushauri wako kwamba watu waangalie mambo yao na ya familia zao, waachane na mambo ya siasa, inaweza kuonekana ni ushauri wa busara, katika mtizamo finyu, mediocrity.
Lakini jiulize, hivi Nyerere alipoambiwa na serikali ya kikoloni achague moja, kuacha kazi yake ya ualimu, au aachane na siasa za kupigania uhuru. Kama angefuata ushauri huu unaoutoa sasa, wewe mimi tusingefaidika.
Haina tofauti na kumwambia mwanajeshi ya nini kuhatarisha maisha yako?
Ila ni kweli wanasiasa wengi ni wachumia tumbo. Lakini haina maana wote ni wachumia tumbo. Magufuli alifanya kazi kubwa sana kuonesha kwamba Tundu Lissu anatumiwa na mabeberu. Hii ni baada ya Tundu Lissu kutofautiana na serikali ya Magufuli katika kukabiliana na uporaji wa makampuni ya madini.
Ikumbukwe mara baada ya rais Mkapa kuanza mikataba feki ya madini, wengi walimpinga, akiwemo Lissu. Walionja joto la dola. Lissu anakumbukwa kwa kuwatoa magerezani mamia ya wachimbaji na wadau wengine waliobambikizwa kesi mpaka za mauaji na serikali ya ccm. Lissu alifanya hivi bureee. Hata Hussein Bashe alimshukuru Lissu bungeni kwa kuwasaidia wachimbaji wadogo jimboni kwake. Lissu ni mtetezi wa kweli wa wanyonge.
Magufuli anajiita mtetezi wa wanyonge , wakati anafisidi fedha za serikali kwa kupeleka miradi mikubwa huko kwao Chato.
Sasa hivi hebu waambie wafanyabiashara wadogo wanaobomolewa mabanda yao waache mambo ya "siasa". Hizo kasumba zenu ipo siku zitakuwa hazina maana. Watu wenyewe wataingia mtaani, bila kushawishiwa na mtu.
Utashitakiwa miga wewe, shauri yako we endelea kupuyanga tu 😂Yaani apambane na majizi ya madini tokea 1990s alafu aje kuwatetea wakati almunusura wammalize hadi akakimbilia nje!!!
Lissu practically alipinga sheria za madini lakini JPM alibaki ndani na kuupitisha alafu baadae anakuja kusema imekaa kifisadi!! But lawama za masuala ya madini anatupiwa Lissu utadhani hata aliwahi kutoa hyo mikataba kwa hao wabia wenu!!.
Wasaliti ni wale waliotoa mikataba ambao wote ni CCM!! msitafute scapegoat
Huwa wanaingiliwa piaAmbao hawatafuti hela Ni vijana wa CCM ukiwemo wewe ,wanasubiri Hela za kupewa baada ya kufanya fitina na unafiki dhiki ya upinzani..
Kwanini usiwe sehemu ya mashahidi wa jamuhuri Sasa.Inaonekana wewe una facts za maovu ya washtakiwa,unaushahidi valid aise.Nenda katoe ushahidi ndugu yetu.Serikali siyo wajinga kumfungulia Mbowe kesi ya ugaidi. Mbowe mwenyewe anajuwa namna alivyolikoroga.
Muulizeni kati ya Desemba 2020 na March 2021 mpaka tunamzika DIKTETA Magufuli alikuwa wapi? Muulizeni ni kitu gani aliomba kwenye ubalozi wa Denmark na alijibiwa nini?
Nendeni na ubalozi wa Canada mkaone status ya papers zake kwa alichokiomba. Mmasingizia alikuwa kwenye biashara zake Dubai, ana biashara gani Dubai?
Kwa nini Serikali ihangaike kumtengeneza Mbowe mashtaka ya kubumba? Ni nguvu gani aliyonayo?
Mbowe alitaka kuweka nchi kwenye status of instability immediately baada ya uchaguzi kukamilika. Serikali ilipogundua njama ndipo akalazimika kukimbia.
Nani kasikia masekondari ya shule za Kisslami yanachomwa tena baada ya Mbowe kuwa mikono salama pale Ukonga?
Na kwa kiasi kikubwa amshukuru Samia ambaye ameacha Mahakama itende haki kwani ingekuwa hajawahi kukimbia nchi wakati wa Mwendazake, saa hizi Mbowe angekuwa na msaidizi wake Ben Saanane huko kuzimu.
Nashangaa Wana CDM mnamtukana Rais SSH eti DIKTETA mwanamke wakati ameacha uhuru wa habari na utawala wa sheria uendelee.
Kama Zitto a ka Nyepesi angekuwa mvumilivu Chadema,Leo angekuwa mbaoi Sana.watanzania tunajua wanasiasa wanafiki
kama umechunguza NCCR ilileta unafiki no one is paying attention
Lipumba na Cuf walileta unafiki,no one is paying attention
Zitto kwa leo sio stage anayotakiwa kuwa,asingekua mnafiki nchi hii zito angekuwa mkubwa kuliko yeyote kutokea,hii level aliyonayo leo ni sababu ya unafiki
FAM akifungwa sababu ya unafiki wa serikali na Zitto,mkuu wananchi tunajua the real ones
Lissu au Lema atarudi kua mwenyekiti wa CDM on behalf ya Mbowe halafu sikilizia hizo ndoto za kinafiki za Zitto za kuja kua mkubwa kuizidi CDM zitafika
Na remember,FAM anaweza iongoza CDM akiwa jela,kila siku asubuhi messenger anaenda jela kuchukua documents za briefing what to do....still wisdom ya Mbowe itakua available vya kutosha kama ilivyo ya Mtei akiwa home Arusha
Plus,kuna wazee wakubwa wa busara nyuma ya CDM,hawa wazee wataleta wisdom ya kutosha
Na mbowe kufungwa ni harakati tosha za kui-keep CDM kwenye makelele....serikali hapa haitalala....CDM itaendelea kua revelant kwa harakati za kumtoa FAM jela....yaani wamewatafutia topic CDM za kuleta makelele
Makelele ya Katiba na demands za kumtoa FAM ndio zitakua topic of the day kila siku for the next 5 years....trust me,this wont be pretty.........
Zitto ajue sio rahisi kujenga chama kijanja janja na ku-comprimise na serikali
CUF ili compromise tu ikafa siku hiyo hiyo
NCCR ili compromise tu ikafa hapo hapo...
I see Zitto hana akili kubwa kiivyo......Zitto kwa path aliyochagua,ameamua kua Mbatia version 2.0...hakuna jipya!
Deni la taifa 78,000,000,000,000Moyo wa mtu msitu. Hata kama Lisu alilipwa ww haukuwepo kuona malipo yake. Na kuhusu Magufuli ya ni kweli si unaona Ikulu ya chamwino ipo chato, barabara za njia nane zinazojengwa zinazojengwa morogoro road zipo chato, barabara ya njia 8 ya bagamoyo road ipo chato, tanzanite bridge ipo chato, barabara ya kilwa road inayojengwa sasa hivi ipo chato, magufuli stand ya pale mbezi luisi ipo chato, ujenzi wa shule mbali mbali na hospital alizojenga wakati wa utawala wake pia kajenga chato tu, daraja la mfugale lipo chato, fly over ya ubungo ipo chato, bwawa la kufua umeme la nyerere lipo chato, stand nyingi za kisasa alizojenga katika mikoa mbali mbali naona kazijenga katika vitongoji vya chato tu peke yake. Hata hii stand ya treni za umeme iliyopo posta pia kihalisia pale sio Dar ni chato. Haya mkuu tusubiri sasa bando kutoka kwa katibu mkuu wetu kwa kufanikiwa kugeuza kila kitu kilichojengwa ktk mikoa mingine na kusema vimejengwa chato vyote. Ukisoma maandishi ya viongozi wetu hapo kwa hii picha itakupa uhalisia wa kile tulichoandika mi na ww hapa kuhusu kupinga kila kilichofanywa na serikali.
View attachment 2001975
A mnowe na zito waavhie wenyewe,Mr Dudumizi
Ungejikita kwenye mada na si kunizungumzia mimi, aliyekwambia mimi sitafuti hela ni nani?
Unafuta nini JF na kwenye mitandao ya kijamii huu mda si ungetumia kuzitafuta hizo pesa zikusaidie wewe na familia yako au wewe hauna familia ya kuitafutia mkate?
Next time jikite kwenye mada na si kunishauri upuuzi
Mahita akitoa ushahidi mahakamani aliulizwaUtashangaa sana. Nyie mnajitia kutetea vitu hamvijui?
Jumanne aliyembambikia mzeee MSTAAFU neno ya yembo na wakampora 90m yeye na SABAYA Leo yupo mahakamani Kama Shahid wa jamhuri KWENYE KESI ya MBOWE..Kwahiyo Chadema walikuwa na maana gani kutaka watanzania tumchague Lowasa ambae walisema ni fisadi kuwa raisi wetu? Hivi mimi leo nikikwambia kuwa rafiki yako J ni jambazi sugu ambalo limeshaiba na kujeruhi watu mbali mbali mtaani kwao na ushahidi wa matukio yake ninao. Afu kesho nije nikwambie kuwa ktk marafiki zako wote hakuna rafiki mwema, mkarimu, mwaminifu na mwenye utu kama J, yani nikushauri umuachie kabisa huyo J duka lako akuchungie mpaka utaporudi safari. Kwa akili ya kawaida mbali na ile ya shule utanielewa kweli. J niliekwambia jambazi hatari jana, leo nikwambia hajawahi kuiba hata sindano ktk maisha yake na ni mtu mwema!
Kila mmoja ana kazi yake. Mimi nimetaka niwakumbushe tu kuwa mnayemtetea hamumujuiKwanini usiwe sehemu ya mashahidi wa jamuhuri Sasa.Inaonekana wewe una facts za maovu ya washtakiwa,unaushahidi valid aise.Nenda katoe ushahidi ndugu yetu.
Haha Yule fisadi alionana na Raisi JPM na juzi katembelewa na Mama wewe unaonaje?!!!Kijana acha kupoteza muda wako kwa kuokoteza okoteza vijitweet na ujinga mungine unaoona mitandaoni. Tumia muda huo kuitafutia familia yako mkate wa asubuhi na kesho iliyo nzuri kwao na kwako. Ukitaka kufuata ya wanasiasa wanayoongea na kuandika utakosa pa kuelekea.
Leo Zito anaandika hivi kuna watu ukiwemo ww mwenyewe mtamchukia na kumdhihaki, kesho ataanza kuongelea serikali na kutukana viongozi wale wale wanaomchukia leo na kumdhihaki ukiwemo ww mwenyewe mtaanza tena kumuona mkombozi na mpiganaji wenu. Tanzania hakuna mwanasiasa anaepigania watanzania bali kuna wanasiasa wanaopigania matumbo yao na familia zao.
Ndio maana wale waliokuwa wanalalamika kuhusu madini yetu kutoroshwa na mabeberu ndio hao hao waliokuja kuwatetea mabeberu na watoroshaji wa madini yetu baada ya raisi na mzalendo wa kweli kuwafurusha wezi wale ambao walitutesa kwa muda mrefu. Jamaa alivuta mpunga akawa upande wa wezi kwa kumpiga mkwara mzalendo wa nchi kuwa atashitakiwa kwa kuwafurusha wezi wetu. Yan jamaa aliamua kuacha watanzania wenzake tuendelee kuibiwa huku yeye akijaza tumbo lake na familia yake. Hii ndio Tanzania.
Fikiria waliwaambia misukule yao kuwa mtu fulani fisadi hatari nchini, lkn baadae wakawaambia tena misukule yao wamchague yule fisadi hatari awe raisi wao sasa kwa akili za kawaida utapata jibu kuwa jamaa wako kwa ajili ya matumbo yao lkn sio nchi yao ndio maana walikuwa tayari kulikabidhi taifa hata kwa fisadi ilimradi wapate kula yao.
Leo Zito unaona anaongea vibaya kuhusu alie jela kesho akitoka watakuwa pamoja na kuwaambia misukule yao kuwa siasa sio uadui nk.
Kijana acha kupoteza muda wako kwa kuokoteza okoteza vijitweet na ujinga mungine unaoona mitandaoni. Tumia muda huo kuitafutia familia yako mkate wa asubuhi na kesho iliyo nzuri kwao na kwako. Ukitaka kufuata ya wanasiasa wanayoongea na kuandika utakosa pa kuelekea.
Leo Zito anaandika hivi kuna watu ukiwemo ww mwenyewe mtamchukia na kumdhihaki, kesho ataanza kuongelea serikali na kutukana viongozi wale wale wanaomchukia leo na kumdhihaki ukiwemo ww mwenyewe mtaanza tena kumuona mkombozi na mpiganaji wenu. Tanzania hakuna mwanasiasa anaepigania watanzania bali kuna wanasiasa wanaopigania matumbo yao na familia zao.
Ndio maana wale waliokuwa wanalalamika kuhusu madini yetu kutoroshwa na mabeberu ndio hao hao waliokuja kuwatetea mabeberu na watoroshaji wa madini yetu baada ya raisi na mzalendo wa kweli kuwafurusha wezi wale ambao walitutesa kwa muda mrefu. Jamaa alivuta mpunga akawa upande wa wezi kwa kumpiga mkwara mzalendo wa nchi kuwa atashitakiwa kwa kuwafurusha wezi wetu. Yan jamaa aliamua kuacha watanzania wenzake tuendelee kuibiwa huku yeye akijaza tumbo lake na familia yake. Hii ndio Tanzania.
Fikiria waliwaambia misukule yao kuwa mtu fulani fisadi hatari nchini, lkn baadae wakawaambia tena misukule yao wamchague yule fisadi hatari awe raisi wao sasa kwa akili za kawaida utapata jibu kuwa jamaa wako kwa ajili ya matumbo yao lkn sio nchi yao ndio maana walikuwa tayari kulikabidhi taifa hata kwa fisadi ilimradi wapate kula yao.
Leo Zito unaona anaongea vibaya kuhusu alie jela kesho akitoka watakuwa pamoja na kuwaambia misukule yao kuwa siasa sio uadui nk.
Sasa hiyo itasaidia nini kwenye kesi mkuuKila mmoja ana kazi yake. Mimi nimetaka niwakumbushe tu kuwa mnayemtetea hamumujui
Wewe naweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!Kijana acha kupoteza muda wako kwa kuokoteza okoteza vijitweet na ujinga mungine unaoona mitandaoni. Tumia muda huo kuitafutia familia yako mkate wa asubuhi na kesho iliyo nzuri kwao na kwako. Ukitaka kufuata ya wanasiasa wanayoongea na kuandika utakosa pa kuelekea.
Leo Zito anaandika hivi kuna watu ukiwemo ww mwenyewe mtamchukia na kumdhihaki, kesho ataanza kuongelea serikali na kutukana viongozi wale wale wanaomchukia leo na kumdhihaki ukiwemo ww mwenyewe mtaanza tena kumuona mkombozi na mpiganaji wenu. Tanzania hakuna mwanasiasa anaepigania watanzania bali kuna wanasiasa wanaopigania matumbo yao na familia zao.
Ndio maana wale waliokuwa wanalalamika kuhusu madini yetu kutoroshwa na mabeberu ndio hao hao waliokuja kuwatetea mabeberu na watoroshaji wa madini yetu baada ya raisi na mzalendo wa kweli kuwafurusha wezi wale ambao walitutesa kwa muda mrefu. Jamaa alivuta mpunga akawa upande wa wezi kwa kumpiga mkwara mzalendo wa nchi kuwa atashitakiwa kwa kuwafurusha wezi wetu. Yan jamaa aliamua kuacha watanzania wenzake tuendelee kuibiwa huku yeye akijaza tumbo lake na familia yake. Hii ndio Tanzania.
Fikiria waliwaambia misukule yao kuwa mtu fulani fisadi hatari nchini, lkn baadae wakawaambia tena misukule yao wamchague yule fisadi hatari awe raisi wao sasa kwa akili za kawaida utapata jibu kuwa jamaa wako kwa ajili ya matumbo yao lkn sio nchi yao ndio maana walikuwa tayari kulikabidhi taifa hata kwa fisadi ilimradi wapate kula yao.
Leo Zito unaona anaongea vibaya kuhusu alie jela kesho akitoka watakuwa pamoja na kuwaambia misukule yao kuwa siasa sio uadui nk.