candlelight96
Member
- Sep 20, 2021
- 38
- 78
Mola atakufanyaje?Kama hofu Jenga juu ya mola wako sio hvyo viplastic.
N plastic ee.. Hujapima toka uzaliwe hapo ulipo unaogopa kupima sabab unajua n mashimo mangap umezama bila viatuKama hofu Jenga juu ya mola wako sio hvyo viplastic.
Wewe umeshakanyagwa na wangapi hapa JF? Wote wameshaunganishwa kwenye gridi ya taifa kama matokeo ya vipimo vyako yanavyoonyesha?Jaman wazee wa jf , nyie wapenda zinaa kila kona jf hamna kidume kimeacha kusema nakujisifia wanavyoichakata mbunye mara mbususu chai zao wakileta wamejaza tangawiz kbao yaan na limao wanaweka jins wanataka sifa ..mara nakula mke wa mtu , mara mke wa kaka, mara shemej, jiran, ..sasa endeleeni kula ni fashion sasa ila mtambue mpo kwenye mtandao mkubwa wa HIV yaan ulomla kaliwa na aliomla kala pengine na mwingne anakula pia wote mnaenda na maji ...kutuliza gololi zenu hamuwez nyie wanaume,..picha ndo kama hilo mkapime huenda ni wafu mlio haiView attachment 2007446
Pointless...yaan nitumie damu yang mm na wakat n negative..ushaona wap mwenye ukimwi akijionesha anao bali wachache ndo wanajtokeza kwa media wengi wao waathirika wamejificha...Mkuu jikite kwenye hoja yangu .
Kupima hata wiki iloisha nimepima na Niko Safi.
Ushaelewa ndyo hvyo wanaume wa jf n kujisifia na zinaa kwan huon ...lakin wanawake sikut uzi wao wakusema wamepigwa mashine kule mara huku..wanaume wanapost had za 'kula tunda kimasihara" yote huon wao ndo walengwaWewe umeshakanyagwa na wangapi hapa JF? Wote wameshaunganishwa kwenye gridi ya taifa kama matokeo ya vipimo vyako yanavyoonyesha?
Kwa vile tendo hili huhusisha jinsia zote mbili, sijaona mantiki yako ya kulaumu upande mmoja tu labda kama hoja yako kuu ni kuwaonya vit*mbi wa humu kuwa wawe makini kwa sababu huko wanakokwenda kuchovya hakuko salama kivile kama wanavyodhani...
Sasa hivyo vipimo ndio vimekutoa macho, mpaka ukaandika maneno mengi na usingizi wako umeukatiza?? Lala mama, dunia sio makazi yetu..mbona inajulikana.Jaman wazee wa jf , nyie wapenda zinaa kila kona jf hamna kidume kimeacha kusema nakujisifia wanavyoichakata mbunye mara mbususu chai zao wakileta wamejaza tangawiz kbao yaan na limao wanaweka jins wanataka sifa ..mara nakula mke wa mtu , mara mke wa kaka, mara shemej, jiran, ..sasa endeleeni kula ni fashion sasa ila mtambue mpo kwenye mtandao mkubwa wa HIV yaan ulomla kaliwa na aliomla kala pengine na mwingne anakula pia wote mnaenda na maji ...kutuliza gololi zenu hamuwez nyie wanaume,..picha ndo kama hilo mkapime huenda ni wafu mlio haiView attachment 2007446
Mm wala sina papara sabab najijua ni ASEXUAL...so kaz kwenu nyie wapenda sex ...mkapimeSasa hivyo vipimo ndio vimekutoa macho, mpaka ukaandika maneno mengi na usingizi wako umeukatiza?? Lala mama, dunia sio makazi yetu..mbona inajulikana.
Mmmmh asexual tena?? Haujapata tu wewe..Mm wala sina papara sabab najijua ni ASEXUAL...so kaz kwenu nyie wapenda sex ...mkapime
Tatzo sio kupata bali Asexual tupo pia na tunazaliwa hivMmmmh asexual tena?? Haujapata tu wewe..
Jua tu mnakosa vingii, poleni sana.Tatzo sio kupata bali Asexual tupo pia na tunazaliwa hiv
Umekosea sana kwenye pichaJaman wazee wa jf , nyie wapenda zinaa kila kona jf hamna kidume kimeacha kusema nakujisifia wanavyoichakata mbunye mara mbususu chai zao wakileta wamejaza tangawiz kbao yaan na limao wanaweka jins wanataka sifa ..mara nakula mke wa mtu , mara mke wa kaka, mara shemej, jiran, ..sasa endeleeni kula ni fashion sasa ila mtambue mpo kwenye mtandao mkubwa wa HIV yaan ulomla kaliwa na aliomla kala pengine na mwingne anakula pia wote mnaenda na maji ...kutuliza gololi zenu hamuwez nyie wanaume,..picha ndo kama hilo mkapime huenda ni wafu mlio haiView attachment 2007446
Kuna Jambo na Vijambo.Jaman wazee wa jf , nyie wapenda zinaa kila kona jf hamna kidume kimeacha kusema nakujisifia wanavyoichakata mbunye mara mbususu chai zao wakileta wamejaza tangawiz kbao yaan na limao wanaweka jins wanataka sifa ..mara nakula mke wa mtu , mara mke wa kaka, mara shemej, jiran, ..sasa endeleeni kula ni fashion sasa ila mtambue mpo kwenye mtandao mkubwa wa HIV yaan ulomla kaliwa na aliomla kala pengine na mwingne anakula pia wote mnaenda na maji ...kutuliza gololi zenu hamuwez nyie wanaume,..picha ndo kama hilo mkapime huenda ni wafu mlio haiView attachment 2007446
Mdau hii ni kawaida sana siku hizi aidha iwe ni maadili au nje na maadili. Sehemu nyingi wagonjwa au wateja wa vipimo vya damu wakishachukuliwa damu jamaa wa huduma ya afya wanajiongeza kuzipima hata HIV pasipo wateja kujua, utaletewa majibu ya malaria etc huku washabaki na sample au majibu kukuhusu wewe habari ya ngoma.Dhumuni LA Mada yako ni zuri.
UKIMWI UPO NA UNAUA.
sasa nirejee kwa Picha ulotumia kusindikizia ujumbe.
Hiyo meza nzuri ya kioo ni ya Lab au kwako?
Je hizo used kits, umeondoka nazo kazini kuja kwako upige picha???..why usipigie kazin tu???
Uko mkoa gani?? Kiasi upate wateja 20 + kwa siku moja ...inamaana tuseme ulipo,, kila SIKU lazima mpate wateja + kuanzia 10 ....( hii sio inshu sana maana kwa mikoanya shinyanga ,iringa, mbeya yote naukanda wake )kawaida.
Hizo used kits kama ni za Hosp, kwann zilizo + , umezipangilia kuanzia 1---20... Inamaana walikuja wateja 20 WA kwanza nawote walikua +?? Kwamba btn 1---20 hamna Neg??? Kwamba zilizofuatia yaan 21 22 n.k, hapa kua na + , au ndo zilikua -.
Hapa napata hoja mbili..
Je ,,wee nimtenda kazi wa Hosp X, vipimo unavyo, umebeba Damu +, ukaja kuitest ili Isome, kisha upige picha ulete humu??????.
Au Vipimo unavyo, na Umetumia Damu yako wewe Mwenyewe ???.kisha umepiga picha.
ALL IN ALL, UKIMWI UPO.
Wote wewe usiekula mbususu hautokufa sio mfu hai eti ....Jaman wazee wa jf , nyie wapenda zinaa kila kona jf hamna kidume kimeacha kusema nakujisifia wanavyoichakata mbunye mara mbususu chai zao wakileta wamejaza tangawiz kbao yaan na limao wanaweka jins wanataka sifa ..mara nakula mke wa mtu , mara mke wa kaka, mara shemej, jiran, ..sasa endeleeni kula ni fashion sasa ila mtambue mpo kwenye mtandao mkubwa wa HIV yaan ulomla kaliwa na aliomla kala pengine na mwingne anakula pia wote mnaenda na maji ...kutuliza gololi zenu hamuwez nyie wanaume,..picha ndo kama hilo mkapime huenda ni wafu mlio haiView attachment 2007446
Ni swala la Imani tu....siiawahi kuamini ktk huo ugonjwaN plastic ee.. Hujapima toka uzaliwe hapo ulipo unaogopa kupima sabab unajua n mashimo mangap umezama bila viatu
Inategemea na Imani yàko..Mola atakufanyaje ?