Ziko wapi Sarafu za Sh.500/=?

tatanyengo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2011
Posts
1,133
Reaction score
282
Kutokana na kuchakaa haraka kwa noti za sh.500, Benki kuu iliahidi kuwa mwanzoni mwa mwaka wa fedha wa 2014/2015 watanzania tutaanza kutumia sarafu za sh. 500 ambazo zinaweza kudumu kwa miaka 20 bila kuchakaa. Binafsi mimi sijaziona sarafu hizo katika mzunguko. Mwenye taarifa naomba atujuze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…