Ndiyo maana nasema TFF kuna a deep seated tatizo pale, si bure!! Wataendelea kubadirisha badirisha Uongozi kama nuts za kuunganisha mashine lakini hakuna lolote litakalo badirika - Wizara ndiyo inapaswa kuajiri Director/Manager wa kusimamia kitengo hicho - huo ndio unaweza kuwa ni mwarobaini wa kukomesha matatizo sugu ya Uongozi wa TFF.