Yupo wapi Mzee Samadu Hassan?

Huwa anasoma wikipedia tu na google, halafu anatuletea habari za kimataifa. Hivi kuna mwanadamu anaweza kushindwa kufanya hicho anachokianyaga huyo jamaa.

Anakula mshahara wa bure ati. Wanamwita mtaalamu wa habari za kimataifa.

Tv hizi za kibongo aisee, wakati mwingine zinakera sana kuangalia. Nikiwa home na nina hamu na tv utanikuta naangalia Al-jazeera, BBC, FOX au nyingine za watu wenye akili hukooo majuu.
 
Sio tatizo lako....manake akili za Div 5 huhitaji kuuliza mara mbili...ni akili finyu tu ndio inakusumbua
hahaha. inawezekana unachosema unakiamin kuwa kiko hivyo. kama mimi ni div.5 na wewe ni darasa la saba, unafikiri unao uwezo wa kunitathimini mimi kweli? au?ngoja nikuache uamini hvyohivyo ili uridhike na wewe ujione mtu.
 
Pasaka hii nilikatiza Morogoro nikasikiliza Abood FM, kuna sauti niliisikia nadhani ni yeye ila sijui kama kahamia huko ama walikuwa wanarebroadcast kipindi
 
Nimemsikia Radio Abood Morogoro katika tangazo la “Usikate miti, tunza mazingira yakutunze”
 
Ubungoubungo,

Kuna kosa akiwahabarisha wale wasio na access na wikipedia na google?

Habari hutafutwa popote hata wewe na ujinga wako huwezi jua kila kilichopo kwenye wikipedia!!..

Hao jamaa zako wa majuu ndio hao hao wanaoweke habari kwenye wikipedia na Google au unadhani habari za wikipedia zinawekwa na Samadu??
 
Star tv nadhan pana shida kwani watangazaji wazuri wote wamesepa.

Huyu mzee japo ni mtaalam nadhan kwa Bongo yetu hakuna anayefua dafu kwa anga za kimataifa, ila wazee amechoka huyu mzee balaa.

Nilikuwa namuona pale Chakechake ndo kituo chake cha dala dala na koti lake amechokaaaa
 
kishokola,

Huyu kama sikosei muda mwingi alikua nje ya nchi akitangaza I think ni Kenya. Kama kachoka basi yanaweza kuwa matatizo yake binafsi.

Pesa alizokua akilipwa kapeleka wapi?
 
Kama yupo Abood FM, punde tu tutamzika.
Kumbukeni Karim Besta, Julius Nyaisanga next Samadu. Pale sio!
 
Hivi Diallo aliacha kuwalipa wafanyakazi wake mshahara ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…