Huwa anasoma wikipedia tu na google, halafu anatuletea habari za kimataifa. Hivi kuna mwanadamu anaweza kushindwa kufanya hicho anachokianyaga huyo jamaa.
Anakula mshahara wa bure ati. Wanamwita mtaalamu wa habari za kimataifa.
Tv hizi za kibongo aisee, wakati mwingine zinakera sana kuangalia. Nikiwa home na nina hamu na tv utanikuta naangalia Al-jazeera, BBC, FOX au nyingine za watu wenye akili hukooo majuu.