Watapata tabu sanaaaaaaaa!!!
Yupo wapi KAMANDA HUYU wa POLISI alikua kamanda wa polisi mkoa DODOMA ali trend sana na slogan yake ya WATAPATA TABU SANAAAAAA
Nakumbuka alikuwa OCD Arusha mjini kipindi cha kufunga kampeni ya uchaguzi mdogo wa kata zile tano katika uwanja wa Soweto aisee aliwaletea wananchi tabu mixa mabomu ya machozi acha watu wakimbiane na kupoteza baadhi ya vitu vya thamani mfano simu, viatu, n.k.Huenda kuna mahali watu wanapata tabu huko...
Sasa nguvu zile zimemtoka..anaishi kawaida. Maisha mafupi sana..Nakumbuka alikuwa OCD Arusha mjini kipindi cha kufunga kampeni ya uchaguzi mdogo wa kata zile tano katika uwanja wa Soweto aisee aliwaletea wananchi tabu mixa mabomu ya machozi acha watu wakimbiane na kupoteza baadhi ya vitu vya thamani mfano simu, viatu, n.k.
Mkuu unaikumbuka tabu aliyowapa Chadema funga kampeni kwenye zile kata tano ona sasa Mungu alivyo mkuu Chadema ipo Muroto kapotea.Sasa nguvu zile zimemtoka..anaishi kawaida. Maisha mafupi sana..
Sasa uzee unampiga kipigo cha mbwa koko,Mkuu unaikumbuka tabu aliyowapa Chadema funga kampeni kwenye zile kata tano ona sasa Mungu alivyo mkuu Chadema ipo Muroto kapotea.
Kuna kile kipigo Cha mbwa Koko ukiandamana.Watapata tabu sanaaaaaaaa!!!
Yupo wapi KAMANDA HUYU wa POLISI alikua kamanda wa polisi mkoa DODOMA ali trend sana na slogan yake ya WATAPATA TABU SANAAAAAA
Ha ha a; Hadi akatrend kwenye media za Al jeeziraKuna kile kipogo Cha mbwa Koko ukiandamana.
Damu ya haki, damu ya mwenye haki, damu inayonena mema, inayotakasa, komboa, inayotuweka huru. Damu inayotufunga. ID yako ni nzuri sana.Afande Muroto yupo somewhere anakula mafao yake.
YESU NI BWANA
Hahaaaa so akiona Mbowe yuko Ikulu kwenye dhifa ya makamu wa rais wa Marekani haamini macho yakeSasa uzee unampiga kipigo cha mbwa koko,
Madaraka hana, anasalimia kila anaekutana nae,
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app