Nakumbuka alikuwa OCD Arusha mjini kipindi cha kufunga kampeni ya uchaguzi mdogo wa kata zile tano katika uwanja wa Soweto aisee aliwaletea wananchi tabu mixa mabomu ya machozi acha watu wakimbiane na kupoteza baadhi ya vitu vya thamani mfano simu, viatu, n.k.