MUME WA JINI
Member
- Mar 28, 2016
- 40
- 25
Naomba wenye ujuzi mnisaidie.
Attackers might be trying to steal your information from www.google.com(eg paswords,messages or credit cards.
Mnisaidie wakuu ni siku ya tatu sasa sometimes nikiingia kwa intanet kwa kutumia browser yoyote nakutana na haya mambo,lakini kibaya zaidi sijui nini nifanye maana hakuna muongozo wowote ili kutatua hilo.
Nimejaribu kulog out,kubadilisha passwordz lakini bado!
Nimekuja hapa natumai mtanisaidia nini nifanye ili kuondokana na hiyo hali.
MSAAADA WENU PLIIZ
nimeshalitatua asante sana kwa msaada wako mkuuUnatumia windows xp?, time/date zipo sawa?
usiogope mkuu ndivyo nilivyo bhana!!!Mdau! Hiyo avatar yako hiyo! Mhhhhh!Nimejuta kufungua thread yako!
wee kweli ni mbongo halisiiiii!!!!Khaaaa, mi nilifikiri connection za sehemu zangu za siri? Yaani kidogo nikubishie. Kumbe hii, khaaaa!
Duh hiyo avatar, mkuu unaonaje uibadlisheNaomba wenye ujuzi mnisaidie.
Attackers might be trying to steal your information from www.google.com(eg paswords,messages or credit cards.
Mnisaidie wakuu ni siku ya tatu sasa sometimes nikiingia kwa intanet kwa kutumia browser yoyote nakutana na haya mambo,lakini kibaya zaidi sijui nini nifanye maana hakuna muongozo wowote ili kutatua hilo.
Nimejaribu kulog out,kubadilisha passwordz lakini bado!
Nimekuja hapa natumai mtanisaidia nini nifanye ili kuondokana na hiyo hali.
MSAAADA WENU PLIIZ