Young killer-Sinaga Swaga

kidaganda

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2013
Posts
2,997
Reaction score
2,577
Naona kuna dis kwa mayoung wenzake.
Pia kama kajidhihirisha yeye ni team Fid na sio Joh Makini..

 
Reactions: Lee
Pia video inaanza kuna call ya Diamond Platinum inaingia kwenye simu yake ila hapokei-


Hii ina maana gani katosa kusaini WBC au??

karibuni kwa discussion..
 
Kweli kawadis mayoung wenzake hope dee na janjaro ...mtazamo wangu lakini Ila dogo anachana kinoma punch zimetulia ngosha ataacha mrithi tosha
 
Kweli kawadis mayoung wenzake hope dee na janjaro ...mtazamo wangu lakini Ila dogo anachana kinoma punch zimetulia ngosha ataacha mrithi tosha

picha aliichana
 
Kweli kawadis mayoung wenzake hope dee na janjaro ...mtazamo wangu lakini Ila dogo anachana kinoma punch zimetulia ngosha ataacha mrithi tosha
nimependa mademu pia na walawala
 
Reactions: Lee
Nimependa nyimbo nzima ndio maana nimeleta tuidiscuss

Pia kuna sehemu anasema usilete tabia za ziwa huku pwani...Hii inamuhusu The Prince
 
young killer team hip hop ngumu.
 
Pia video inaanza kuna call ya Diamond Platinum inaingia kwenye simu yake ila hapokei-


Hii ina maana gani katosa kusaini WBC au??

karibuni kwa discussion..


Ni Mbabaishaji tu kama wasanii wenzake wa bongo fleva.
 
young killer ana mgogoro binafsi kwa kifupi anahisi hapati heshima anayostaili
 
mademuu wazur sio g nako tuu hata mimi nawarawara(walawala)
 
......ATAYEMJIBU NI DEMU WAKE NA WAKIKAA KIMYA WANAMUOGOPA......

NI SAWA NA WALE WALINZI WA ZAMANI WA KIMAKONDE
"UKIMUNNG'UNYA AU UKITEMA NCHALE NA UKIMEZA NCHALE"
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…