unaona alichoandika hapo kwenye bold?? ile sheria ya 1983 sijui inahusu nini ndo unaikiuka sio Masa????NL na Baht hamieni jukwaa la mambo ya kikubwa!
Unaweza rudia hayo maneno kwa faida ya Mzee wa Zenj?
mkaidi huyu ameyaona sana
Umeona kibatani eeeeeh ............?
why?? if you may clarify that??
hivi ya kikubwa na mapenzi na mahusiano yana tofauti??? nisameheni mwenzenu hata mwalimu wangu alinivumilia hivo mpaka nikamaliza darasa la saba!!!
hahaaa mie bado mdogo subiri nikue ndo nihamie hukoWith due respect mambo ya kikubwa huyajui?
https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/
Suuza roho yako hapo!
Kama vipi nitakufunza kwa vitendo tusikie raha wote
hahaaa mie bado mdogo subiri nikue ndo nihamie huko
Kumbe ndo maana wabana..........!
ndo maana nini?
hahahahha!Geoff mbona karibu nifaint...hiii sredi mmmnh imenipa ka BP kidogo...wacha ninormalize halafu nitarudi. we togetha in this ma broda.... wala usifikirie hayo ya mapesa ...u have one weding day and it shd be memorable..unless una mipango ya 2nd...3rd etc... if it takes money to make it memorable so be it!!! and stop scaring me...u know what i mean!!
ahsante kwa ushauri mzito kabisa mamii!......Pole sana Geoff, harusi gharama ndugu yangu.Ila hakuna tatizo sana, utakuwa umepata michango ya kutosha japo na wewe lazima ujitoe..........ndio ukubwa huoooo!!
hili ndio la muhimu kaka...!i will never get married for the second time!...
Ukimaliza harusi yako itabidi uje na analysis ya harusi na cost implications zake. Nafikiri itasaidia wale ambao hawajaoa wala kuolewa hili wawe rational kutumia milioni 12.5 kwa harusi wakati za mhusika hapo ni 8.2 milioni au kununua kiwanja au kununua mkoko au whatever. Ila Geoff harusi ni muhimu sana kwako hizi nyingine ni changamoto za kawaida sana na kwa wale wataalamu wa kumbukumbu na matukio harusi ni mojawapo ya vitu muhimu sana. So dont regret manunajua nin,mimi sikulifahamu hili...!
Na ukishikilia maandiko haya wala hutoshindwa chochote katika maisha yako ingawa majaribu ni lazima"Bwana ndiye mchungaji wangu sintopungukiwa na kitu." Zaburi 23
UPO?......
Thanks PAL!.....Ukimaliza harusi yako itabidi uje na analysis ya harusi na cost implications zake. Nafikiri itasaidia wale ambao hawajaoa wala kuolewa hili wawe rational kutumia milioni 12.5 kwa harusi wakati za mhusika hapo ni 8.2 milioni au kununua kiwanja au kununua mkoko au whatever. Ila Geoff harusi ni muhimu sana kwako hizi nyingine ni changamoto za kawaida sana na kwa wale wataalamu wa kumbukumbu na matukio harusi ni mojawapo ya vitu muhimu sana. So dont regret man
i will put this post in my guinness book record book. I hope it will halp me in the near futureOyaaaa...ebu uko naona njaa imekuzidi mchana huu kapate lanchi kwanza!
Kizuri lazima ugharamie sasa unataka tu mtelemko! mttoto mwenyewe mshiki!? wapi na wapi!
Ukivulia nguo maji shurti uyaoge
habari ndo hiyo
ON a serious note harusi imeshaisha hiyo acha presha!
i will put this post in my guinness book record book. I hope it will halp me in the near future