candyloycious
Member
- Sep 5, 2015
- 44
- 13
Karibu bossTunakuja
AhsanteInapendeza sana...
Yes tunatuma bossMikoani unatuma?
No ahsante
Kwa sasa ni hio bosspunguza bei Mkuu
punguza bei Mkuu
Ina warranti ya muda gani?
Lama viko imara, bei ni rafiki sana.
Ukimpelekea Mama kijijini si wanakijiji wote watapeleka hapo kufuliwa? Inakua umepeleka matatizo badala ya neema ( gharama za umeme, sabuni na maji). Hapo achilia masimango kwamba mnajidai...
Sie wa vijijini bado tunasafari ndefu sana.
warranty one year
Hahahaaa uwe na amani boss wanguAhsante.
Nimeshakutahadharisha natokea kijijini, nivumilie tu.
Ukaposema 5 Kg, inamaanisha inachukua mzigo ( nguo na maji) wa 5 kg kwa mkupuo mmoja?
Hahahaaa uwe na amani boss wangu
Ndio yaaan mfano mashirt unaweza weka matano mpaka 6 ya mtu mzima
Hii ni sabuni yeyote ya unga au majiBarikiwa sana. Swali la mwisho kwa sasa,
Kwa mfano huo huo, tufanye nimeweka mashati matano, inachukua muda gani mchakato wote kukamilika hadi nguo kukamuliwa ili nikazianike?
Na zinatumia sabuni maalum au hizi omo, forma na zingine za unga? Najua kuna sabuni maalum za mashine za kufulia, hizi unazoziuza zinatumia aina ipi?
Ahsante