Jamani itabidi niwe mwanamziki sasa,Fally chiboko siku akina dada walivyokuwa wanajipeleka ni kama mbwa kwa chatu lakini match winner akawa Yasimine,ah nilitaka kusahau nao mapedeshee wa town walivyojifanya wanavijisenti huko kutunza ili mradi wapaishwe ilionyesha watu walivyo malimbukeni na hivyo vijisenti hao akina Ndama mtoto wa ng'ombe sijui kama huko kwao wanatoa hivyo vijisenti kusaidia jamaa zao,mi naona ni ulimbukeni tu unawasumbua watu waliopata vijisenti kwa njia za kitapeli na ambao hata abc ya shule hawana